Search results

  1. M

    Sera ya Kilimo na Mifugo imewasaidiaje Watanzania?

    Sera hii imewanufaishaje watanzania wandugu?
  2. M

    Sera ya Kilimo na Mifugo ya mwaka 1999 imewasaidiaje Watanzania?

    Wadau, naomba mnifahamishe kama sera ya kilimo na mifugo imewanufaisha Watanzania na kwa kiwango gani. Nawasilisha
  3. M

    Sera ya Kilimo na Mifugo ya mwaka 1999 imewasaidiaje Watanzania?

    Wadau, nahitaji mchango wenu, kwa yeyote anayejua kuhusu Sera ya Kilimo na Mifugo nchini, je, imefanya kazi ipasavyo? Imewanufaishaje Watanzania hasa wale wa makundi yaliyosahaulika ama yanayogandamizwa katika jamii kama wanawake? Bei za mazao zinawiana na gharama halisi za kilimo? miundombinu...
  4. M

    Ni kweli kuna watumwa wa ngono?

    Wanajamii wenzangu nakuja na mada hii. Msinielewe vibaya, lakini kwa faida na ustawi wa jamii. Ngono: ni neno linalozungumzia kwa mapana mambo mengi sana yakiwemo kutazama picha za ngono, kujichua na mambo mengineyo. Lakini kwa baadhi ya watu, wingi wa ngono na titendo vyake, vinavyochangiwa...
Back
Top Bottom