Nimefurahi kwa muda tu lakini nikakumbuka mlolongo wa cases zilizoamuliwa na mahakama na mahakama ikatangaza vifungu Fulani vya Sheria kupingana na katiba na kuitaka serikali kuvirekebisha lakini mpaka Leo vipo na vinaendelea kufanyiwa kazi.mfano ni kesi ya piter ngomango v republic na ile ya...
Je wakuu kwa member wa law anapanda gari gani na je kuna mahitaji ambayo ni specific to that faculty zaidi ya yale ya jumla.a candid answer will be candidly appreciated wakuu.
Mtihani wa Qt huwa na maswali 100 yatokanayo na masomo matano kati ya kumi yatungiwayo mtihani.masomo ya lazima ni mawili yahani geography na history.mengine matatu ili kukamilisha idadi ya matano ni chaguo la mhusika.kumbuka kuna masomo hayachanganywi bali kinachofuatwa ni kutengeneza...
Wadau habari za asubuhi!jamani nauliza hivi udom hakuna provision ya kulipa ada(Tution fee)kwa awamu?maana nimesoma maelekezo yao na kama nimeyaelewa wanaelekeza ada yote ilipwe tarehe25.kitu pekee walichogawa kwa semesters ni zile direct cost.naombeni ufafanuzi kwa aliyeelewa vizuri tafadhali.
Wakuu salaam!naombeni msaada wa ufafanuzi juu ya UDOM katika maeneo haya:gharama ya ada kwa course ya bachelor of law,duration/muda wa course na kujua kama ada wanachukua kwa instalment per semester au mkupuo.ni hayo na nitashukuru maana nikitfuta tovuti Zhao ziko busy sana hazifunguki.
Wakuu salute.nimefuatilia online mtandao uko busy sana naombeni msaada wa kujua yafuatayo toka UDOm:-kiwango cha ada kwa course ya law,duration/mda was course kuisha ni miaka mingapi name kama ada wanachukua kwa instalment yahani per semester au mpaka mwaka mzima.please I am in a dire need.
naomba nitumie muda kidogo kukuelewesha kama ulivyoomba.qt ni short form ya quarifying test kwa kiswahili waweza hita jaribio la kufuzu.sasa unafuzu nini?ukishasoma kwa mwaka mmoja vidato viwili yahani chakwanza na cha pili,unapimwa kwa mtihani huo uliouzungumzia ambao matokeo yake ni ama pass...
Tatizo la watu kama Diamond msingi wake ni kupata mafanikio makubwa bila kuhangahika(kutoa jasho sana) kwanza.kama kungekuwa kuna uwezekano wa kufungua moyo wa mtu nakujua anachowaza,basi ungekuta Diamond anaamini watu wote wasio na mafanikio(maskini) ni wazembe nakwamba yeye na wenzake wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.