Nimeona niilete hapa ili tupate elimu maana JF ni shule. Naomba topic hii isijadiliwe kwa kashfa za kidini maana maandiko yapo so ni bora kutumia maandiko kama ushahidi.
USHAHIDI WA TOPIC YANGU NI HUU
Na Maulamaa, Wanasayansi, Mfasiri Abu Kawthar
Makala hii itagawanyika katika sehemu kuu...
SEHEMU YA KWANZA:
--Utangulizi
Baada ya kifo cha Julus Kambarage Nyerere tarehe 14 Oktoba 1999 mengi yamesemwa na kuandikwa kuhusu msimamo wake na uadilifu kuhusu Uislam Tanzania.
Nia ya kitabu hiki ni kueleza jinsi Mwalimu Nyerere katika kipindi chake cha uongozi- alivyoshughulikia suala la...
10 BEST ENGINES IN THE WORLD.
http://autos.yahoo.com/news/10-best-engines-world-211840467.html
http://autos.yahoo.com/news/10-best-engines-world-211840467.html
Naona chama changu pendwa kimeamua liwalo na liwe.
Sasa usalama wa taifa umepewa kibali cha kuzikama hati za kusafiria za wahusika wa tuhuma za ESCROW wapatao 27(sina hakika kama wote 27 wamekula pesa hiyo,but list ya watu wanaotakiwa kunyang'anywa HATI ni 27)
Maongezi na fikra za watanzania kwa sasa ni;afadhali "UKAWA" ije kuitoa CCM madarakani,na wenye chama chao(CCM)kutokana na madudu yaliyopo chamani,wao nao wana kauli zao/zetu za POTELEA mbali bora niendelee kuipugania CCM yangu.
TUKIRUDI UPANDE WA PILI(UKAWA)
BINAFSI natamani kuiona CCM ikikaa...
KISWAHILI KILIVYOTATIZA MSIBANI TARIME:
Ndugu Sangu tumekucha hapa Maarum kwa chambo mocha tu. Mama Rhobi AMEFIRWA na kaka yake usiku wa kuamkia reo. Chambo ra kufirwa si ra mcheso, na sio ra mtu mmocha mmocha. Reo kafirwa mama Rhobi,
kesho ntafirwa mimi, kesho kutwa Utafirwa wewe mama...
Manny Pacquiao amesema majadiliano yanaendelea juu ya-bambino la Pauni Milioni 300 baina yake na Floyd Mayweather Jnr.
Mabingwa hao wawili wa uzito wa Welter duniani, kwa muda mrefu wamekuwa wakichukuliwa kama mabondia bora zaidi duniani.
Lakini mashabiki wa ngumi wamekuwa wakisikitishwa na...
DAH NOMA STORY YA DADA HUYU KAHABA INASISIMUA NA KUHUZUNISHA LAKINI NDO HIVYO TENA
12:08 -STORY -No comments.
-Nilikua mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini dare s salaam , katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile , basi siku moja moja nilikuwa...
Tazama ndoa za wa2 kutokana na maisha yalivyobadilika na watu kuchokana. Jamaa alikaa na cheti chake cha ndoa kwa masaa 4 akikitazama mara mkewe akamuuliza vp leo umekumbuka siku ya ndoa? Mume akamjibu HAPANA
'NATAFUTA EXPIRE DATE YANDOA SIIONI....GUDNITE!!!!
JE! HUYU KICHAA AMEPONA KWELI?TOA MAONI YAKO:-
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto wangu walee...
Hapa ni mtoto wa kitanzania mwenye miaka miwili.yeye akilala anaota mpira,akiamka anaulizia mpira.sasa mfananishe na huyo wa kizungu alafu niambie nani anastaili kuchukua kombe la dunia?
Hii lazima Obama kahusika.
Angalieni hiyo picha.
I CAN SAY THAT PUTIN PLANE AND THE MALAYSIAN BOEING INTERSECTED AT THE SAME POINT AND THE ECHOLON.THAT WAS CLOSE TO WARSAW ON 330-M ECHELON AT THE HEIGHT OF 10,100METERS.THE PRESIDENTIAL JET WAS THERE AT 16:21 MOSCOW TIME,AND THE MALAYSIAN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.