Habari wapendwa,
Naomba kuuliza, eti kama hata mimi nikienda nje ya nchi yetu Pendwa Tanzania na ikatokea bahati mbaya nimefariki, ndugu zangu wakaamua kuurudisha mwili Tanzania kwaajili ya maziko,
SWALI: Naamini mtanzania ni mtanzania tu japokuwa haja ukana utanzania wake, Huu mwili/maiti...
Aisee kwakwelihili jambo silielewi kabisa... mimi nipata leseni yangu 1994 Class D tena wakati ule ilikuwa lazima uwe umekamilisha Lena 3 ndo uwe allegible kuomba Test pale traffic office... Sasa ilipofika wakati wa kurenew, kupewa hizi mpya, process ilikwenda na tukahakikiwa tukapewa hizo...
Barabara ya sam mujoma... Kila siku wanapita yhe wrong side of the road.... Kama kuchelewa mtu si atachelewa siku moja basi ndo apite huko.. Wao kila siku si asubuji wala jioni kila siku wanapita wrong side na mara ngingi tu wanataka kusababisha ajali.... Yaani wakishafika taa za kwenda...
Loh... Asee... Nimesoma yoooote, mwanzo - mwisho... Hapa naona mambo mengi sana yanayoweza sababishwa kutokana na hii statement ya Uhamiaji....! Hatari Sana.!
Tatizo mawazo Hasi muda wote....!!!! Si nzuri kwako hata kwa familia yako.... Hizi ni nyakati tofauti kabisa, watu wameelimika.... Si kila fundi hajui kuandika. Kuna watu wana Degeree zao na wanachoma welding, Mfano mzuri ni mimi.. Nina Degeree in Polotical Science ila ni fundi magari.
Tubadilike
Kaka kama ni kweli unayoongea maana hatujasikia story ya mke wako..... Kula kona acha nae... Hatari kitu gani bana..! Leo hayo kesho atafanya zaidi.. Maana mtu mwenye kukufanyia hivyo ni dhati ha mapenzi na wala si mtu wa maendeleo licha ya kuwa na uvumilivu. She so selfish and self centered...
Lakini ni nimefikiria kitu.... Clouds inang'ang'ania kufnya fiest usiku na hali ndo kama hiyo...
Pendekezo: Ni kwanini wasianze saa 5 asubuhi mpaka saa 5 na dakika 59 usiku, this way, watakiwa wamepata muda zaidi..!
Ni mtazamo tuu..
Lazima kwamza wataanza na yeye., kwanini athubutu kuhack number ya mtu mwingine? Pili ni kwamba.... Huwa hakuna hicho kitu nchi yoyote, ni kosa la kimtandao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.