kumbe unatumia maneno halafu hujui maana yake..tafuta kamusi ya kiswahili utafute maana ya neno mrembo......mimi sipotezi muda wangu..... sijui uwezo wako wa kufikiri upoje wewe....eti ukikoment thread ya mtu umevutiwa nayo????? au hujui maana ya kuvutia pia?
aisee! kwa hiyo na ww ni mrembo? maana umevutiwa naye kias ukaona uingie humu. poor thinking capacity. yaan ukiingia na kucoment thread ya mtu unakuwa umevutiwa naye?
halafu wewe Kyenju inaonekana wakati unasoma ulikuwa mzee wa kwenda out of point (op).hapa kila mtu ana opinion yake bana. au wewe ndio madam ritha? hapa hakuna kulemba na sina haja ya kuita sped eti kijiko kikubwa, " i call a spade a spade" huo ndio ukweli ukiuma tafuta maji ya baridi unywe...
kosa kubwa walilofanya ni kuweka siku moja na TPF, matoke yake mtu akimaliza kuangalia TPF kurudi kuangalia EBSS inakuwa ngumu. washiriki wanapayuka ovyo ovyo tu, bendi ni kama kelele tu. yaani bora kuzima tv na kulala tu.
ahsante MziziMkavu, sijafanyiwa uchunguzi bado ila ntafanya hivyo soon. hapo kwenye maambukizi ni maambukizi gani hasa yanayoweza kusababisha miscarriage?
MziziMkavu na wana jf wengine naombeni ushauri wenu. mimi nina tatizo la miscarriage kila ninaposhika mimba. ya kwanza nilishika miaka miwili iliyopita lakini iliharibika siku ambayo ilitimiza miezi miwili. mwezi uliopita nilishika mimba ya pili lakini imekaa mwezi mmoja tu. na kuharibika siku...
inategemea ofisi gani au unafanya kazi gani. kazi za ualimu bila vitenge viwili vitatu mambo hayaendi so unapiga "vipencil" siku tatu halafu una neutralize na kakitenge siku moja. la si hivyo unaambiwa hauna haiba ya kazi.
mmh jaman sijui tatizo ni nini. mbona hawa walikuwa watangazaji wa ITV, alikuwa akitangaza habari kwa lugha ya kiingereza saa 4 usiku[ siku hizi hakipo] na charles hilal alikuwa radio one.
yaa mparee 2 nakuunga mkono kwa 100% mapenzi hayna fomula kabisa mnaweza kukutana kanisana na bado ndoa ikawa ndoanoo, nashukuru sana kwa ushauri wako.
Habari wana jf,mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 27, nna elimu ya chuo kikuu,
kwa sasa nnafanya kazi katika taasisi binafsi. natafuta mchumba ambaye atakuwa mume wangu.
awe na umri angalau kuanzia miaka 32 na kuendelea .
sichagui dini wala kabila nko tayari kubadili dini.
awe tayari kupima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.