kama radi ni mnyama,tutajie kitabu,tutakitafuta tukisome,msilete habari za kaka yangu,oooo mara babu yangu,hao ni akina nani katika ulimwengu wa wasomi?
Kule Malawi kuna kabila linaitwa ngonde,lugha yao inashabiana na kinyakyusa kwa asilimia 100,hata wandali lugha yao inafanana na kinyaki kwa 95%,nao pia wanapatikana malawi,sisi wanyaki wa kyela baadhi tunaonge lugha za malawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.