Naona wengine ni muhimu warudi kusoma historia. Hata Muungano hawajui. Mwakyembe anazungumza akiwa na digrii tatu kichwani as constitutional lawyer na digrii tatu kichwani. MWIBA naweza pata cv yako? Sorry anyway
Duuh. kweli mmenipa wazo raha. ila mwanakijiji unafikiri sana. \wote wanaolia naweza toa konklusheni WIVU TUU HAMNA JINGINE. hii ni impact ya nyenyere na Mkapa Mungu wasamehe.
wachaga tusonge mbele
kutokana Na Upuuzi Unaoendelea Tanzania Sasa Nimeazimia Kuomba Umoja Wa Mataifa Watutumie Jeshi Ili Kuwakamata Mafisadi. Maana Mwanyika Na Mwema Wameshashindwa Kazi.
Ripoti Nne Za Madini Zimeshakamilishwa Na Kupelekwa Kwa Wale Jamaa Tunaowapaga Nchi Wachezee;wapi?
Ripoti Ya Lowasa Kuhusu...
nadhani hawapatani na mumewe kama ujuavyo mambo ya JK.Sasa afanyaje kama si kupoteza muda ili asiongeze matatizo? Si unajua anajua kusoma kingereza siku hizi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.