Wazalendo na wajenga nchi washatangulia mbele za haki, sasa tumebaki na wabomoa nchi na wachumia tumbo, katika hali kama hii kweli ikitokea ugumu katika kufikia maamuzi hafu kukawa na ulazima wa kupeana takrima ili mambo yasonge kweli atakaekuwa na ujasiri wa kuachia takrima hizo? Time will tell
Nna mashaka sana kama kweli this fela ni uzao wa one genius Dr.John Samwel Malecela, maana yake uwezo wako wa kuchanganua mambo uko very shallow sana, kuna masuala ya msingi yasiyohitaji tafsiri za kisiasa we unaleta siasa, shame on U Le Mutuz
Salaam sana Brother Jackton, baada ya salaam nipende tu kukuambia kuwa, kuwa mtanzania sio kushabikia propaganda za media zinazozidi kuleta tension miongoni mwa wananchi, tambua kuwa kuna kuwa mtanzania na kuwa mtanzania mzalendo, naamini kwa mzalendo yeyote hawezi kushabikia propaganda zozote...
We need scientific analysis not blah blah, let me do simple research then i'll come back with scientifically analysed thread, no reseach no right to comment
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.