jamani nina
CHEM-C,
BIOS-C
MATH-D
PHYS-D KWENYE TANGAZO HAPO JUU KUNA SHARTI MOJA LINANIBANA KU-APPLY KWASABABU WAMESEMA MWOMBAJI AWE AMEMALIZA KIDATO CHA NNE 2008 NA KUENDELEA NA MIMI NIMEMALIZA 2006 NAOMBA USHAURI NIJARIBU KUTUMA MAOMBI AU SIWEZI KUPATA NAFASI KABISA?
Habari zenu wana Jf wote!ni imani yangu wote ni wazima but kama kuna wagonjwa basi poleni na ni imani yangu mta-recover soon!
NAOMBENI PIA MSAADA WENU KUHUSIANA NA torrent sielewi ninini na inahusiana na mambo gani sometimes nakutana nayo kwenye ku-download vitu nielimisheni jamani!
nimenunua televisheni pamoja na dishi la kunasa mawimbi ya TV na hapa nilipo hakuna mtaalam wa kunisaidia kufanya setting ili niweze kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya nchi hivyo kwa heshima kubwa naomba mnielekeze nianze na hatua gani na nimalize na ipi! sijawahi tangu kuzaliwa...
jamani wana jamii naombeni msaada wa kisheria ilikuwa mwezi wa kumi na mbili mwaka 2010 mdogo wangu alifariki dunia baada ya kuchomwa kisu na jambazi na kufanikiwa kunyang'anywa pikipiki,tuliendelea kufanya upelelezi tukafanikiwa kumkamata mtu akitumia ile pikipiki na kumfikisha polisi tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.