Search results

  1. M

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Habari Naomba msaada wako mimi nimeagiza mara mbili, mzigo unaonekana umefika Country of destination ila sasa haunifikii nimetumia namba ya simu ya physical adress sikuweka sanduku la barua. Nafanyeje?
  2. M

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Nimeanza kusoma kitabu cha "The wealth Gardener"baada ya kuona kuna mdau alikuwa anakiomba sana. Jana nimeanza leo nimefika page 65. I must admit nimekipenda kitabu.
  3. M

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Hivi kipi ni kizuri kusoma hardcopy or softcopy? Nimeanza kusoma vitabu mwaka jana na napenda kujijengea hii tabia imenisaidia sana. Hivi hardcopy mnanunulia wapi?
  4. M

    Mayai ya kienyeji yanauzwa

    Unapatikana wapi?
  5. M

    Mafriji used yanauzwa

    Naomba namba nije hapo niko maeneo ya kijichi Neluka.Nataka oven hope utanipunguzia kidogo
  6. M

    Shemeji amembaka msichana wangu wa kazi

    Asanteni wote kwa Ushauri wenu.tumeliongelia jana wote na tumefikia muafaka Shemeji ameondoka leo ila tutaendelea kumsaidia akiwa huko huko nyumbani.
  7. M

    Shemeji amembaka msichana wangu wa kazi

    Msichana ana 16 na mvulana ishirini
  8. M

    Shemeji amembaka msichana wangu wa kazi

    Ilikuwa jana tulikuwa tumeenda kazini wote amebaki yeye mwanangu mdogo kama mwaka hivi.According to huyo msichana mtoto alikuwa amelala akamaliza kitandani kwake na yeye akaenda chumbani kwake kulala kuhamaki unashangaa mtu yuko juu yake alijaribu kupiga kelele ila alimziba mdomo akamzidi nguvu...
  9. M

    Bomoa bomoa yaanza Kurasini shimo la udongo kupisha muwekezaji

    Sidhani kama ni kweli mimi nilikuwa naishi kurasini mwenye nyumbani wangu alipewa mil 200 hivi zilikuwa nyumba mbili afu Akasema hazitoshi wakapeleka malalamiko waongezewe yaani walikuwa wanatest tu kama hataongezewa ila hakuna mkazi wa Kurasini ambaye hakulipwa ila haturidhiki na tunachopewa.
  10. M

    Natafuta nyumba ya kupanga

    iwe maeneo ya Mwenge au survey,kijitonyama,kinondoni ,laki tatu na nusu ,three bedroom,parking na maji yawepo.
  11. M

    Bank gani Tanzania inatoa Online Services nzuri?

    BancABC wala huhitaji kuwa na account unajaza tu form kwa ajili ya visa card unapata card the same day unatakiwa tu kuwa na kitambulisho na elfu 5000
  12. M

    Mayai ya kuku wa kienyeji

    Unayo?unapatikana wapi?
  13. M

    Mayai ya kuku wa kienyeji

    Jamani naomba kujulishwa wapi nitapata mayai ya kuku wa kienyeji na bei yake ikoje?niko dar Asanteni
  14. M

    Satelite dish Vs antenna

    Jamani naomba kujuzwa nimenunua kigamuzi cha star timez afu nina dish kwangu naweza kuunganidha kwa dish badala ya antena?
  15. M

    Toyota starlet for sale

    Nop hiyo bei hailipi ndugu
  16. M

    Toyota starlet for sale

    Nimeshindwa ku upload hapa ngoja niendelee kujaribu
  17. M

    Toyota starlet for sale

    Toyota starlet for sale6m, Number CNG,mileage45000km,insurance compehensive.color dark blue
  18. M

    5M nahitaji gari poa

    Nina starlet number CNG, mileage 45000,insuarence comrehensive ,mil 6 tu
  19. M

    Please help my hp laptop screen turns black

    laptop yangu ya hp inawaka ila screen yake baada yq muda inakuwa black ila iko still on sijui tatizo mwenye ujuzi please
Back
Top Bottom