Habari Naomba msaada wako mimi nimeagiza mara mbili, mzigo unaonekana umefika Country of destination ila sasa haunifikii nimetumia namba ya simu ya physical adress sikuweka sanduku la barua. Nafanyeje?
Nimeanza kusoma kitabu cha "The wealth Gardener"baada ya kuona kuna mdau alikuwa anakiomba sana. Jana nimeanza leo nimefika page 65. I must admit nimekipenda kitabu.
Hivi kipi ni kizuri kusoma hardcopy or softcopy? Nimeanza kusoma vitabu mwaka jana na napenda kujijengea hii tabia imenisaidia sana. Hivi hardcopy mnanunulia wapi?
Ilikuwa jana tulikuwa tumeenda kazini wote amebaki yeye mwanangu mdogo kama mwaka hivi.According to huyo msichana mtoto alikuwa amelala akamaliza kitandani kwake na yeye akaenda chumbani kwake kulala kuhamaki unashangaa mtu yuko juu yake alijaribu kupiga kelele ila alimziba mdomo akamzidi nguvu...
Sidhani kama ni kweli mimi nilikuwa naishi kurasini mwenye nyumbani wangu alipewa mil 200 hivi zilikuwa nyumba mbili afu Akasema hazitoshi wakapeleka malalamiko waongezewe yaani walikuwa wanatest tu kama hataongezewa ila hakuna mkazi wa Kurasini ambaye hakulipwa ila haturidhiki na tunachopewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.