naombeni mnisaidie jinsi ya kupata password ya ku log in kwenye system ya CAS.Nimejiregister tayari nimekwama jinsi ya kuendelea coz kila ninapo sign in naambiwa nakosea password na wakati najisajili sikuona pa kucreate password.Kama kuna anayejua jinsi ya ku log in anisaidie.
Nimehitimu mafunzo ya Uhasibu ngazi ya stashahada katika Chuo cha Elimu ya Biashara Dodoma (CBE) 2012.Natafuta nafasi ya kakazi popote hasa mkoa wa Dodoma.Pia nina ujuzi wa matumizi ya compyuta na Accounting Packaging.Kwa mawasiliano zaidi namba yangu ni 0784261882.Email mtheino@yahoo.com.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.