Search results

  1. M

    usajili cas

    naombeni mnisaidie jinsi ya kupata password ya ku log in kwenye system ya CAS.Nimejiregister tayari nimekwama jinsi ya kuendelea coz kila ninapo sign in naambiwa nakosea password na wakati najisajili sikuona pa kucreate password.Kama kuna anayejua jinsi ya ku log in anisaidie.
  2. M

    Wanafunzi wa Manzese Secondary wanaanguka chini na kuzimia

    mh! tusubiri tuone watasema chanzo n nn
  3. M

    Natafuta Kazi

    Nimehitimu mafunzo ya Uhasibu ngazi ya stashahada katika Chuo cha Elimu ya Biashara Dodoma (CBE) 2012.Natafuta nafasi ya kakazi popote hasa mkoa wa Dodoma.Pia nina ujuzi wa matumizi ya compyuta na Accounting Packaging.Kwa mawasiliano zaidi namba yangu ni 0784261882.Email mtheino@yahoo.com.
Back
Top Bottom