Mkuu hii ni shida nyingine, baada ya Waziri mkuu kuwavamia hawa maBw, usilogwe upitishe kakontena kako hata kenye viberiti ndani, hawa jamaa wa TRA wanataka sifa sasa, unapigwa hata 30M, hutaki cha moto utakiona na hakuna ku appeal popote
Hakuna pa kuripoti chochote nchi,
Rais tupatie direct line zako au mtu wako wa karibu, wasiolipa kodi Nchi hii ni wengi mno, wageni nafkiri ndiyo hawaguswi akabisa
Wengi humu hayajawakuta....utatamani ardhi ipasuke tena zaidi kama uko na wageni wa nje..hi kitu fastjet sitaki hata kusikia,nakula basi kama kawa na story nyingi mpaka nafika nakokwenda..wafanyakazi wake ndiyo kero zaidi ya hiyo Fastjet
Mkuu huko sahihi,
jeshi letu la polisi ndiyo wahusika wakuu, kuna vielelezo lukuki hapo ila wanajifanya hawaoni,kazi kubwa ya polisi ni kulinda wahalifu kwani ndiyo wanawaweka mjini
Mimi naona wenye biashara kubwa kubwa kama mabenki ni wa..puu.zi wa kwa kwanza kabisa kama wapangaji wakubwa wa mlimani city kwani ni wa kubali huu u.pu.uzi ,wanategemea wateja wao watapaki wapi na walivyokuwa na mafoleni kwenye mabenk yao,pa..mb.,fu kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.