Search results

  1. L

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kaombe nafasi dodoma hachana na kubadilishana
  2. L

    Wabunge wagomea posho ya laki 3, wasema ni ndogo

    Ingawa ni vizuri kuhesimu mawazo ya mtu, lakini huyu kanda wa ccm anatakiwa afikrie mwalimu na askari wanaoishi Dodoma kwa mshahara wa 300000 kwa muda wa siku 30.Naomba aje na hoja je inakuwaje wajumbe wa wabunge la katiba washindwe kuishi kwa hela hiyo hilo kwa siku moja?
  3. L

    Wanasiasa na umasikini wa tanzania

    Nafuatilia mjadala wa posho ya wajumbe wa bunge la katiba.Inasikitisha sana kuona wajumbe ambao wengi wao ni wabunge na wasomi wetu wakiwa wanadai waongezewe posho.Wanajav kwa hesabu za haraka mjumbe mmoja atachukua milioni 21,000,000 kama bunge litadumu kwa siku 70. Hivi hii ni haki? Kwa nchi...
  4. L

    Msaada jamani kwa anayejua hisabati kwa hesabu hizi hapa.

    Kwa mwendo wa kutaka majibu wakati wewe hujui utaendelea kukalili na haitakusaidia kamwe.Unatakiwa utafute mwalimu akufundishe hesabu hatusomi kwa kupewa majibu.
  5. L

    Mwalimu anayetaka kufanya kazi ya ualimu mikoa ya mwanza, bukoba na kagera.

    Hata wewe ni mwalimu? Kama ni kweli wanafunzi watafeli sana.Hivi kuna mkoa wa Bukoba na Kagera.
  6. L

    CHADEMA taifa vipande vipande! Soma barua hii ya Zitto

    Wakati mwingine wanajf tuwe tunajaribu kufikiria nje ya box: 1.Kwanza barua hajasainiwa 2.Barua yenyewe ni ya tarehe 15/machi/2013 Kwa sababu hizo hapo juu hii barua haina ukweli wowote ndani yake na hizi inawezekana ni siasa mfilisi za chama tawala,
  7. L

    Walimu wa halmashauri ya wilaya chato hili mlikatae kwa nguvu.

    Kweli adui wa mwalimu ni mwalimu.Hapa Chato maafisa elimu ambao kitaaluma ni walimu ndiyo wanakuwa wa kwanza kuwakandamiza walimu.Ni hivi karibuni maafisa elimu hawa wameagiza tena kwa lazima kwamba walimu wote wachangie madawati.Kinachosikitaisha mwalimu anachangia maendeleo kila mwezi...
  8. L

    Chemsha ubongo wako

    Mwalimu alitoa chemsha bongo darasani "Laiti jana ingelikuwa kesho basi leo ingelikuwa Ijumaa" Mwalimu aliyasema maneno haya siku gani? Naomba mnipe jibu wanajf.
  9. L

    Walimu wapya halmashauri ya kilwa walia njaa

    Serikali ya ccm haina lengo la dhati la kutatua matatizo ya elimu Tanzania zaidi ya kuunda tume ambazo hazina tija.
  10. L

    Vurugu za kugombea kuchinja nyama huko Tunduma muda huu

    Rais asipochukua hatua za dhati kumaliza mzozo wa nani achinje, taifa letu litatumbukia kwenye vita ambavyo damu yake itakuwa juu yake.
  11. L

    Utaratibu huu wizara ya afya umeanza lini?

    Ukitaka kujiunga na vyuo vya wizara ya lazima ulipie shilingi 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama hautachaguliwa Naishangaa serikali yangu ya ccm ni kwa nini haina utaratibu unaofanana katika wizara zake.Kwa mfano wizara ya elimu wao unatuma maombi bila kulipia pesa.Nachelea kusema kuwa huu...
  12. L

    Utaratibu huu wizara ya afya umeanza lini?

    Ili mtu aweze kutuma maombi ya kujiunga na vyuo vya afya serikali katika ngazi ya cheti na stashahada anatakiwa kulipia sh 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama akikosa.Wakati nchi inakabiliwa na tatizo la wataalamu wa afya serikali yetu inazidi kuweka vikwazo vya kujiunga na vyuo vyake.Lakini...
  13. L

    kwa nini walimu Bongo tunadharauliwa sana?

    wewe mwenyewe unajiona una akili kwa jinsi ulivyo respond hiyo thread?
  14. L

    Emproyment for diploma teachers needed at sacred Heart secondary school

    Mbona hiyo tovuti ukiifungua inakurudisha JF
  15. L

    Wizara ya elimu yalipa baadhi ya madai ya walimu

    Hii inatia hasira kuona serikali inawalipa walimu wawili katika wilaya wakati kuna zaidi ya wlimu mia wanaoidai serikali.Kweli serikali yetu ina jambo ililokusudia kwa walimu na watoto wa walalahoi
  16. L

    Watendaji wa serikali mnaua elimu ya tanzania

    Bila kuzunguka nianze na afisaelimu shule ya msingi wilaya ya Chato. Huyu jamaa ameamia juzi lakini amekuja na mkakati wake eti walimu wafundishe mpaka saa kumi akiwa na maana kuanzia saa 6.00-8.00 mchana ni mapunziko. Kinachonishngaza shule hazina nyumba za walimu zilizokaribu, walimu wengine...
  17. L

    Kidato cha sita kujiunga na jkt mwaka huu

    Mbona shule nyingi ni za serikali.Source kasome gazeti la mwananchi la leo ( 7/1/2013)
  18. L

    Kidato cha sita kujiunga na jkt mwaka huu

    Hizi ni shule ambazo kidato cha sita watachaguliwa kwenda JKT mwaka huu kuanzia machi Kibondo, Musoma, Kibaha, Ilboru, Bagamoyo, Jitegemee, Tabora Wavulana na Nganza. Shule nyingine ni Mtwara Wasichana, Ihungo, Kilakala, Benjamin Mkapa, Maswa Wasichana, Dodoma...
Back
Top Bottom