Kwa wapenzi wa playstation games,mashine ps2 inauzwa bado ipo katika hali nzuri.inacheza games za kwenye flash na kwenye cds.inakila kitu chake pamoja.
-Unapata mashine yenyewe.
-pads mbili original
-flash yake 8GB ina games tatu (FIFA2015, GTA SAN ANDREAS na NEED FOR SPEED)
-memory card yake...
young_mesult 14:07 Today
oi wadau nahitaji playstation 3 iwe inacheza games za memo,bajeti 400k tsh.
pia kama mtu ana ps2 nazo zinacheza games za kwenye flash nahitaji,bajeti 100k tsh.
oi wadau nahitaji playstation 3 iwe inacheza games za memo,bajeti 400k tsh.
pia kama mtu ana ps2 nazo zinacheza games za kwenye flash nahitaji,bajeti 100k tsh.
Habari za mchana wana JF.
Kuna mdogo wa rafiki yangu amekosea namba ya kujaziaa form zile za TCU, amejaza ya mwenzake wa pembeni yake sasa hapo itakuaje maana info zingine kama jina mahali yote ya kwake ila namba ya mtu mwingine naomba ushauri hapo ni muhimu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.