Umeeleza vizuri sana Lakini Sababu ni Mafundi wengi wamejifunzia Mitaani na wengi hawajui Sensor zina operate vipi na namna ya kuzifanyia Test.
Mimi Huwa nafanya mwenyewe
habari wakuu?
Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu.
Bei ni nafuu na spea ni Original
Kwa sababu ya changamoto ya mtaji hatuna stock bali tunaagiza moja kwa moja Ulaya kwa...
Hii ni hatari sana Imagine mwanao akufanyie hivi. hadi mzazi wake katokeza public na kum disown sio mchezo.
Baba anahisi kufitiniwa sana. wazia umemraise mtoto na anakufanyi hayo
Si unaona aliyosema kuwa yamefanywa wakati yeye amelazimishwa kwenda Muhimbili kupimwa akili kupitia mahakama hata hivyo kaonekana hana shida yoyote. At the same time Jamaa anampindua kimya kimya halafu mtoto kabisa
Wakuu Habari zenu?
Kuna Nini Kimeikumba Familia ya Patel? Someni wenyewe Hapa Hadi Nimechoka kwakweli. Mtoto anaweza kumsaliti Baba kiasi hiki? Au kuna kitu?
Kama kuna mtu yuko Karibu na familia hii anayejua zaidi atusaidie.
Haya ni baadhi ya Makampuni yanayomilikiwa na MOTISUN GROUP...
Ngoja niseme kitu kidogo ili mwenye kuona aone.
Hivi mnafikiri ufalme wa shetani umefitinika?? Eti uumwe au upagawe na Mapepo halafu uende kwa mganga alitoe pepo wapi na wapi???
Ambacho waganga wanafanya kwa watu ni hiki. Anakupatia Pepo kubwa ambalo linakuja na kulitiisha au kulituliza lile...
If you are desperate then you are closer to your Answer. God is near press on and you shall find. Cry out to God He will Answer from heaven.
The opportunity that God gave us (the human beings) is to be able to kneel down, lift up our hands, close our eyes and speak to Him. Use it till you are...
Anachosema mshana jr ni kweli kulingana na bible. Biblia imeelezea predestination/kukusudiwa kimbele. Ndio maana Mungu alisema shukuruni kwa kila jambo. Liwe jema au baya tushukuru tu kwa sababu yeye ndiye kila kitu.
Ukitaka kuangalia pre destination kwenye Maisha yako chunguza hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.