Juzi siku ya j'mosi nilikuwa nasafiri kutoka Simanjiro kwenda Mkoa K'njaro.
Nilipomaliza shughuli zangu Moshi nikaamua kwenda Mkoa wa Arusha kwa ndugu ambayo ilinilazimu kupanda basi la kuanzia Moshi au yale mabasi ya Mikoani .
Kwa sababu mabasi ya mikoani hayasimami mara kwa njiani nikaamua...
Kutokana hukumu mbalimbali ambazo imeamuliwa na mahakama ya mwanzo na baadae kukatiwa rufaa ambayo itampatia mrufani ushindi Itakuwaje kwa hakimu wa mahakama ya mwanzo alietoa hukumu?Sheria inamweka wapi Hakimu au Jaji anaetoa hukumu batili?
Napendekeza kuwa Katiba mpya iwe na kifungu cha kujisimamia kama Katiba ili kutoa adhabu kwa viongozi na watawala wanaounja katiba waziwazi na hili liwezekane kuunda jopo la Katiba kutoka Kanda kuu za Tz yaani Kaskazini, Kusini Magharibi, Pwani, Kanda ya ziwa na kati ya nchi jumla yao iwe watano (5)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.