Hi people. Naomba kuuliza hiv ni kweli kwamba wanawake wafupi ningum kujifungua kwanjia yakawaida? au sio kweli nakama ni kweli nitatizo gani linalosababisha hali iyo. KWENU WADAU
wahaya kwabwebwe bana. Jamaa alikua anajitambuli kwenye sherehe kwamba nimfanyakazi wamochwali ila cki bwebwe zake. Kwajina naitwa lweimamu kamugisha mushombos i am working in national bugando hosptol aim plofenal after low ni kwamba nahusika na wale watu ambao madakitali bingwa wameshidwa...
kuna dem mmoja niliona kaaplog picha yake twitwer ukweli alibamba hisia zangu nikamua kumfoll kisha nikamuandiki sms Tots. Hey mambo vp
Garl. Poa mzma wewe
Tots. Ebana mie mzma
Garl. Naomba unilushie vocha ya sh 500
Tots. Dah! samahani sina hela apa
kesho yake
Tots. Hey naomba unitumie...
kuna mdada kila nikikutana nae napenda xana kumtania kuwa nampenda bas yeye aniambia kuwa utaniweza wewe Tots mie mashine kubwa sais ya kaka zako mzki wangu hauwez unaweza ukafia kitandani basi mie roho inaauma kweli leo kanipigia cm nakuniambia niende kwao fasita anipe utam nikajianda fasta...
Binafisi nashidwa kujua ni muda au miezi mingapi mama mjamzito anashauriwa kuacha kushiriki tendo la ndoa na kama atashiriki ndani ya muda huo ni madhara gani yataweza kutokea kati ya mama au mtoto.
Natumai mko poa waugwana binafisi nashidwa kujua nimuda gani mama mjamzto anashauliwa kuacha kushiliki tendo la ndoa na kama ataendelea nimadhala gani yanaweza kutokea kwa mama au kwa mtoto.
masai alimuona jamaa yake akienda chooni na maji uzalendo ukamshinda akabidi aulize hey! Rafiki mbona waenda namaji chooni kwani muk..uundu iko na kiu.
masai alikua anasafili na alikua kakaa sit ya mbele akawa anamuangalia deleva akibadilisha gia kila wakati ilipofika wakati wakwenda kula watu wote wakashuka ila yeye hakwenda kwasababu alikua nakibuyu chake cha maziwa, akaanza kuichokonoa ile gia hadi ikachomoka, dereva alipokuja masai...
hapo zama nilikua naish kitaa kimoja chauswahili na nilikua bonge labishooh kwakuwabadili madem na pamba zangu zakuazma huku nikijifanya mie anderglaund wa hip hop madem walinipenda xana na kila mmoja akitamani ku det na mimi ijapo hawakujua nafanya kaz gan siku moja niko zangu job na mavaz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.