We pumbavu ukome! Utalaanika kuwaza tu kuandika hivi ushalaanika 20% acha kabisa ujinga! Mwache aolewe kisheria aakishaolewa anachapa lapa! Afu mbona unaa wivi mbaya sana we mtoto dah....
Yaani jamaa alijiapizaga kwamba ikifika decemba fulani kabla hata ya tarehe 25 ukweli utadhihirika, magaidi watajulikana. Wakati ule akiwa waziri wa mambo ya ndani. Alikuwa akiwalenga CHADEMA sikumwelewa kabisa mziki wa Kibiti ulipokolea akapotelea pwete!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.