Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Kuna jamaa mmoja aliwahi kata kabisa kiganja cha mkono wa kibaka baada ya kuudaka dirishani kibaka huyo alipoingiza kutaka kuiba.
Alafu jamaa akabaki na kiganja hadi siku alipoambiwa kuna dogo mmoja amekatika kiganja maeneo fulani ila yeye alisema alipata ajali. Basi jama akafungasha kiganja hadi kwa wazazi wake na kuwapa full story kisha kuwaachia mzoga wao. Dogo alikuwa ndani aliposikia maelezo akakimbia kupitia mlango wa nyuma.
 
Kuuawa tena, hapana ukhti,,uislamu sidhani kama unaruhusu hivyo,,mtu ameiba halafu umuuwe kweli!!! Wengine wanapigwa kiberiti, hii ni halali!!! Wapi katika Qur'an imehalalisha huu unyama!!

(33) Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki.
Ustadh utatuharibia siku... Naomba tukuache kama kiporo
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Baadhi a polisi bure kabisa, Sirro tupatie nafasi ya kupigia kura vituo vyote vya polisi, upate kujua kiachoendelea. Enzi ya magufuli kulikuwa shwari
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.
Ulikuwa umelewa sana. Ulipigwa sana na vijana watatu wadogo?
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Babu hili jina la😠 kikurya? Kyan nini sijuwi!,🤣🤣🤣🤣
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Vidole atavumilia, ungekata goroli zake ili kutokomeza kizazi hicho kisijirudie
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.

Kwa hiyo unajisifu kumpiga mtoto wa miaka 15?
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Kimara ipi hiyo mkuu tuchukue tahadhari na sisi?
 
shughuli ninazofanya zinanilazimu kuwa na bastola muda wote, lakini nikikumbuka kwamba sihitaji kuwa na historia ya kutoa roho ya mtu hapa duniani, huwa naahirisha kumiliki bastola. awe jambazi, awe mtu wa aina yeyote, kumwaga damu yake kungeniwekea historia mbaya sana nafsini mwangu.
 
Watu ambao tumeshakabiliana mara kadhaa na vibaka/majambazi ndiyo tunaelewa kuwa stori hii ni uongo na ni chai ya pilipili manga
Kiuhalisia mtu mwenye silaha mfano panga tena wako zaid ya mmoja wakikutait wakakuwahi hata kama una panga kwenye bag huwezi kumdhuru kabla ya yeye kukudhuru kitendo cha kutoa tu wangekushambulia

Na Mara zote kibaka akikuwahi ukiwa na bag huwa hakuachii nafasi ya kufungua bag eti umpe kilicho ndani anacho fanya yeye ni kukunyang'anya bag lote ataenda yeye kulikagulia mbele ya safari na siyo eti wewe ndo umtolee vilivyo ndani ya begi, maana hata hilo begi lenyewe analihitaji pia hata kama halina kitu
Panga tena mawili unaweka kwenye begi hadithi za cheichei shangazi
 
Ustadh utatuharibia siku... Naomba tukuache kama kiporo

Hapana mkuu,,hapa najaribu kuwaweka sawa,,,mtu ameiba ndala dukani, je! yafaa kumuuwa!! Au nieleweshe kuhusu hao panya buku wakoje, na wanatumika kujeruhi/kuuwa watu!!!
 
Kuna yale mabegi kama ya watarii,,,mapanga yanaingia vizuli sana. Labda ya huko kwenu marefu kama mpini wa jembe ndio maana.
 
Kuna jamaa mmoja aliwahi kata kabisa kiganja cha mkono wa kibaka baada ya kuudaka dirishani kibaka huyo alipoingiza kutaka kuiba.
Alafu jamaa akabaki na kiganja hadi siku alipoambiwa kuna dogo mmoja amekatika kiganja maeneo fulani ila yeye alisema alipata ajali. Basi jama akafungasha kiganja hadi kwa wazazi wake na kuwapa full story kisha kuwaachia mzoga wao. Dogo alikuwa ndani aliposikia maelezo akakimbia kupitia mlango wa nyuma.
Mkuu, ni chai ila tamu!
 
Back
Top Bottom