Acheni basi ushabiki wa Kijinga wa kuchafulia watu majina!
Kinacho onekana hapo ni barabara iliyofungwa, pengine inapita kwenye shamba la mtu;
Hata ningekuwa mimi; mtu hawezi kugeuza kiwanja changu/shamba langu kuwa barabara bila kukubaliana.
Hayo ya udalali wa Kiwanja mmetoa wapi???
Nikuwa morogoro vijijini tukaendesha gari kwa kama nusu saa hivi kwenye pori lilipo sehemu nzuri tu kwa kilimo/ufugaji; nikaambiwa ni shamba la muheshimiwa mmoja wa Arusha aliyekuwa na Wasifa mkubwa.
Watajua wenyewe na Mungu wao kwani...
Wamesomesha watoto wao shule za gharama , wamewapatia...
Tangu lini Zanzibar ikawa lango la utalii Tanzania?
Hivi vitu vinahitaji taaluma/reference sio kuandika tu kwa hisia
Watalii takriban 75% wanatokea bara kwenda Zanzibar kwahiyo kitwakimu (bara) hasa Kilimanjaro na Arusha ndio Lango la Utalii Tanzania.
Watalii huja kwa wingi kutembelea Mbuga za...
Nafikiri kuna kitu hakipo sawa kwenye uendeshaji wa hii mifuko
Chukulia mfano KENYA ambao wapo serious na uendeshaji wa mifuko yao. Wafanyakazi wa Serikali huchangia 5% na private 10% wakati huku Tanzania tunachangia mara mbili yao halafu kikokotoo chetu ndio kimekuwa cha mawazo kuliko cha kwao...
Unahakika eneo ni Sqm 135 (miguu 10 kwa miguu 13?)
Kama ni kweli inamaana huwezi kupaki hata boda boda nje kwa sababu kiwanja kimejaa nyumba chote
Kwa mazingira hayo bei elekezi uliyotoa, sioni kama inaendana......
Hii ni sawa na kumpeleka mdada kwenye duka linalouza unga wa SEMBE na bidhaa nyingine kama perfume nk
umwambie pale umekwenda kununua unga wa sembe hivyo kuona/kuvutiwa na perfume ni makosa...
TUSIJIDANGANYE SISI NI BINADAM NA WALA SIO MALAIKA!!!
Mungu ni mwepesi sana wa kusamehe zile dhambi zinazomuhusu moja kwa moja mfano:
Hujaenda Msikitini/kanisani, hujatoa sadaka, nk lakini kama umetendea watu mabaya OMBA KWANZA MSAMAHA WAKUSAMEHE ndio urudi kwa Mungu; tofauti na hapo Msamaha wako kwa Mungu ni bahati nasibu.
Huwezi kuchukua...
kwa hizo ulizo andika Mimi naikubali Mayfair kwani ndiyo naifaham vizuri
Zanzibar insurance ni nzuri pia na inafanya kazi Bara na Visiwani
NMB Bank nao ni wakala wa Bima, wanafanya vizuri japo siwajui vizuri
Ulicho kiandika unaweza kukielewa mwenyewe!
Au sijui, Ulimaanisha Ukiwa na degree ukigongwa na gari huwezi kufa?
Au pengine mtu akiwa na degree muda wote anakuwa ndani ya gari hivyo hawezi kugongwa?
Vyuo vya serikali hata ukiwa na C kupata CO sio rahisi; wanaopata nafasi kusoma hizo Course ni walio na pass za A na B na wachache sana C. Nilifuatilia mdogo wangu alivyotaka kusoma na kuona waliopangwa hiyo course 85% walikuwa na DIV 1 tena kali
hiyo D uliyosema sijui ni ya somo gani ila...
kama mishahara inaendana aende Halmashauri
Good neighbors angeweza kwenda kama wanalipa angalau mara mbili ya halmashauri kwani private Sector hawana marupu rupu na kazi uliyo omba utaifanya kweli kweli ILA huko Halmashauri mambo sio haba...
Kiongozi hatupo hapa kuharibia watu nafasi zao kwani, hata kama wapo wamepewa hizo nafasi kutokana na mfumo wetu wa Elimu ya juu ambao ndio tunapendekeza maboresho
Watoto wote wanabahati kwani Mungu huumba kila kiumbe na risk zake
Hata hivyo sio sawa kusema eti watoto wakiume wakitelekezwa huwana bahati?
Kama umeona wawili watatu ni bahati tu lakini ungekusanya watoto wa kiume 1000 waliotelekezwa ndio ungejua kuwa utafiti wako hauna mashiko. Fuatilia...
Kuna mjadala ukiuleta ndio unakuza jambo....
Wewe ungeshauri tu wasomi, wafanye mambo positive zaidi au niseme wajitofautishe na Darasa la saba,
Hizo dharau unazosema zingeisha zenyewe!
hawa waheshimiwa wawili; Msukuma na Kishimba nawaelewa sana
Wanaupeo wa hali ya juu wa kuelewa na kuchanganua mambo na ujue ni wa darasa la saba
Ukichambua hoja zao pole pole, utagundua kuwa, hawa watu hasa Kishimba ni super genius. Ningekuwa Waziri, Kishimba ni kati ya watu ningewaweka kwenye...
Nafikiri tunaweza kuwapelekea Locker na bench moja na tuandike kuwa; Msaada huu umetolewa kwa hisani ya wananchi wakereketwa wa Tanzania
Wangepata cha kujifunza
Kimsingi kukimbiza gari sio chanzo kikuu cha ajali za barabarani; Sababu za ajali zipo nyingi ila kikubwa nikutokufuata sheria za barabarani na ubovu wa magari hasa MALORI unaopelekea yaachwe hovyo hovyo barabarani yakiwa yameharibika
Baadhi ya wanawake hasa wamama wa nyumbani hufanya hizo chat for fun!
Jua tu nothing Serious. Kimsingi ni makosa makubwa kumfanyia mkeo hivyo!
Mtafutie kazi/biashara ya kumkeep busy na muachane na hiyo mitandao ya watoto wa shule...
Kiongozi;
MAMBO YAMEBADILIKA sio kama enzi ya Mrema
1. Sikuhizi tuna barabara nzuri
2. Mabasi yamekuwa ya kisasa haswa (Yanachoo, yana camera, yana visibiti mwendo nk nk)
3. Uelewa umeongezeka kwa madereva na Abiria kujua wajibu wao (watu wengi wamesoma),
4. Vitu vingi kwa sasa ni Digital...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.