Search results

  1. T

    Kila la Kheri DARASA la SABA...

    sikuizi ni ruksa kuchunguliana tena usipo mwonyesha mwenzako unakung'utwa kisawasawa kama si ivo wasiojua kusoma wasingepita ila mwaka huu walimu watakua makini na wasiojua kusoma wasije aribu issue all the best wadogo zangu mungu awatangulie
  2. T

    Njia sahihi ya kupata pesa zenu kutoka helsb ni.......click here

    si wengine wa sauti tupo tayar vyuoni yana tumelipa ada nusu tumeshachoka tunashindia chai tu tupo tabora nasisi tunataka kushiriki heri kufa kishujaa kuliko kuishi kwa aibu nashindia chai kweli wakati mzaz mtaji wa elfu kumi anabanwa kodi tunakufa huku njaabado ukichelewa kuripoti huku faini...
  3. T

    Bodi ya mikopo yafanya kweli.

    msameheni tu jamani yanamtosha hayo msimwongezee atalemewa
  4. T

    News alert:another updates from heslb.

    wakisema second round hatupewi mkopo wakati wengine tupo chuoni toka jana sikutupa pressure jaman maana tumelipa robo but ada nyingine zitatoka wapi au ndo kuacha chuo
  5. T

    deadline kwa wale wa second round imeongezwa

    jaman mbona tcu wanatoa second selection kwaupendeleo arch bishop mihayo tayar angalieni web yao
  6. T

    Kukosekana kwa taarifa juu ya kinachojiri HESLB

    achen tu wapendwa maana tanzania walikua wanaiongoza kama watu vipofu lakini si watanzania wa sasa tuna macho nauelewa wakutambua haki zetu na sio wakupelekwa tu walipaswa kutoa taarifa walipo fikia sio kukaa kimya nakuacha watu bila kuelewa wamesimama wp haya ni madhaaarau
  7. T

    Tcu wameniacha hoi

    Archbishop Mihayo Tabora
  8. T

    Tcu wameniacha hoi

    Jina halipo ndio kitu kinachonishangaza .
  9. T

    Tcu wameniacha hoi

    First selection nilikosa nikajaribu secound round nikawa admitted,nimeangalia kwenye website ya chuo nilichoomba nimekuta tayari majina ya secound round selection yapo,nikachukua jukumu la kupiga tcu jibu walilonipa ni kwamba majina ya secound round hatujawatumia bado.NDUGU ZANGU HAPA IMEKAAJE.
  10. T

    sina hamu na tcu

    mh bora yako best mi first round walisema wameruka jina langu so nifanye second round nimefanya nikawa addmitted arch bishop mihayo tabora majina ya second yametoka eti sipo kweli hi ni haki bora yake hata yeye amepata mi ndo sielewi hiz sound mh
  11. T

    Ivi kuna mtu amewahi kuangukiwa na zali kama hili la heslb?

    labda baba yake yupo huko huwez jua mwenye nguvu ndo anakula bana nchi hii mwige huone
  12. T

    Utata Mpya TCU,

    sawa naona mmemjibu ipasavyo mi nimeomba second round tarehe 28 baada ya fist round kua nautata japo nilienda tcu wakakiri kunamakosa nakusema watashughulikia ikabid niombe tu mara nyingine lakini nasikia kukonfirm imeandika admitted sawa nakonfirm vp
  13. T

    Nashukuru Mungu sijapangiwa IFM !!!!

    kila nikimsoma huyo jamaa nasikia kichefuchefu ungekua hujachaguliwa popote ungerembulia wapi wacha kejeli mi mwenzako nina two lakini mpaka sasa tcu wananizingua nabado wanasema wanashughulikia ningepata IFM ningehic nipo haera so we baada yakupata ndo unajifanya sizitaki mbichi hizi unabweka...
  14. T

    ELEWA kuhusu HESLB.

    ebu nami niulize kama mkopo utachelewa chuo watataka tulipe ada then mkopo ukitoka wanaturudishia tulicholipa au watasubiri mgodi uteme think big
  15. T

    Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

    yakubidi ufwate kilicho kupeleka kama kilicho kupeleka ni mangudee basi you will graduate with aids and not A
  16. T

    Msaada kuhusu tcu

    nisaidieni waungwana nimeomba second round jana ikakubali kwa my profile imeandika Admitted so inamaana ndo nimeshachaguliwa hicho chuo au and nini natakiwa kufanya msinicheke tafadhali nisaidieni tu
  17. T

    Mkutano wa Chadema M4C-Iringa wasitishwa!

    ukweli nikwamba polisi wanashindikizwa na chama cha mapinduzi wakiofia chadema kupata wanachama wapya kwakufanyamikutano but watambue kua watanzania sio mabwege na tumeshaianza safari no turning back wajifuunze kuua tunajifunza kufa
  18. T

    Msaada kuhusu tcu

    santen sana shida nikwamba nikiomba direct chuon sitopata mkopo kabisaa sasa mama yangu mwenyewe kashazeeka maisha yakubangaiza pesa itatoka wapi? nimemtuma mama dar yupo huko but kweli hajapata jibu cm zao zote hazipatikani landline tu ndo inapatikana ila leo nimejaribu tu kuomba second round...
  19. T

    Msaada kuhusu tcu

    Wandugu naombeni msaada kuhussu tcu mimi nimesoma diploma ya community development na nimeomba kujiunga na vyuo,lakini nimeangalia kwenye profile yangu,selection status inaonyesha Not yet processed,wakati wenzagu wameshapata majibu,kwenye majibu ya wasiochaguliwa tcu sipo,waliokosea...
Back
Top Bottom