wandugu
tunatoa huduma ya usaidizi/assist kwa wafanyakazi mbalimbali walioajiriwa na kubanwa na kazi za kiofisi na kuhitaji msaada ili kumaliza task zao kwa mda stahiki tutakusaidia kwa malipo kidogo
Tupo dsm lakini hata mikoani tutakuja kwa makubaliano maalumu
Tupo na personel ya fani...
wana lugha najua mnaweza kunipa ufafanuzi juu ya hili, nina mtoto ambaye anasoma class 4,na anapenda kujua maneno mengi ya kiingereza na kutafsiri kwa kiswahili,sasa kaniuliza JUICE kwa lugha yetu inaitwaje nikamjibu niJUISI hakuridhika,na mm ndo dad
Ndugu wanasheria niwekeni sawa kwa hili,
Kampuni yetu ina nyumba mjini, na mmoja wa wanahisa alikopa katika taasisi fulani na akaweka hati ya kampuni (bila makubaliano).
sasa mkopo hakumalizika kulipwa na wameshauza nyumba,nilifungua kesi, mhisa hakutokea naomba ushauri nifanyeje?
Waungwana kwa mwenye ufahamu na uzoefu wa kuuza voacher za airtel,voda,tigo na zantel kwa jumla.
Mahali zinapopatikana,faida yake,na mahitaji ya mtaji ili uweze kusambaza katika maduka ya rejareja.return inakuwagaje?
Kwa wadada wenye age below 35,nahitaji mke hata km ana mtt 1,elimu atleast f4.mi ni bizs man elim chuo kikuu.miaka 33.awe na kazi hata km la.ila awe na uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa.cna mtt na ni single man.ni pm kwa detail karibu wadada
wana jamvi ninatafuta soko la unga wa mihogo na mihogo yenyewe inapatikana kwa wingi na kama mtu anajua wapi nitapata soko hilo hivyo anijuze tafadhali
wana jf.kwa maoni yangu naona kushusha madaraja ya ufaulu kwa k4 na k6 si mpango mzuri kwa kuboresha elimu.ila ni juhudi ya kutafuta sifa na kuondoa aibu ya matokeo ya k4 na k6.kwa mpango huu mpaka watoto wanaopata wastani wa 20 watakuwa wamefaulu?.
wana jf natafuta mbia/partinership au mkopo wa mda mrefu kwa ajili ya kujenga business mall ambayo itakuwa kyela mjini ni centred kiwanja ni kikubwa cha kutosha kujenga business mall ambayo itakuwa na shop apartments,office apartments,restaurants,workshops,functional halls,rest house.nimejaribu...
kwa namna moja ama nyingine it makes mi not to live with a woman yaani mke kwani always in ma age with two good prepared gel to be ma wife 4 different vipinds they all end up marrying other men with no strong reason to either side so cms their relation ilikuwepo b4 so tulikuwa kamtandao this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.