Search results

  1. Loy MX

    Noah old model inahitajika

    wakuu mwenye gari aina hiyo tuwasiliane. kwa 8 Million
  2. Loy MX

    Toyota progres

    Toyota Progres hii gari nimetokea kuikubali sana, lakini sijui upatikanaji wa spare parts zake ukoje na fuel consumption zake sijui ukoje .. Kwa mwenye kuijua naomba anipe darasa kidogo maana nataka kuivuta mambo yakienda sawa...
  3. Loy MX

    Olympus Has Fallen VS White House Down

    Kwa wadau wa movie Filamu mpya ya Anton Fuqua THE OLYMPUS HAS FALLEN inaangukia kwa star Gerald Butler anayecheza kama mwana usalama aliyepoteza ajira yake kutokana na kifo cha first lady kilichosababishwa na ajal ya gari.. Lakini anapata nafasi nyingine ya kurudisha heshima yake pale...
  4. Loy MX

    Tablet Xtouch X906 & Tablet Xtouch X709

    Mwenye hizo tablet naomba ani PM tufanye biashara
  5. Loy MX

    Ndugu zangu mnaoenda JKT mjiandae.......!

    Sijui ni kweli au la.........
  6. Loy MX

    Unywaji wa viroba ni hatari kwa akili yako.........!!! kudadeki...

    Hii ni hatari aisee
  7. Loy MX

    Mapicha picha yetu yaleeeeee....!!!! wazee wa ma kiss

    Wazee wa Digitali mpo?
  8. Loy MX

    Nyodo zingine hazifai kabisa nyie wadada..!!!

    Hii nimeitoa sehem flani... Jamaa Katika pilika zake za hapa na pale akiwa stend kuna dada kadondosha simu akaiona akamuita daah dada alivyomsonya dah mtu mzima akaaibika akaikota ile simu na kuondoka nayo baadaye akampigia akamwambia yeye ni mwenye simu jamaa akamuambia na mimi ndiyo...
  9. Loy MX

    Ukiipenda kazi yako jaribu kuafanana nayo........!!!!

    sina cha kuongeza lakini picha inajieleza yenyewe.
  10. Loy MX

    Tatizo la kuwa na hasira hata kwa jambo dogo!

    Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa mtu mwenye hasira nyingi tofauti na zamani. Mtu anaweza kunikorofisha kwa jambo dogo ila mimi nikalichukulia kwa mapana sana. Sijajua tatizo ni nini ila hiki kitu nakuta kimenitokea tu. Je hili jambo linasababishwa na nini? Ipi suluhu yake na kuna dawa...
  11. Loy MX

    Kwa mnaomjua Jean Claud Van Damme!!

    Naombeni kufahamu ukweli kuhusu Jean Claud Van Vernberg a.k.a Van Damme katika filamu ya CYBORG iliyotoka mwaka 1989 Zamani katika miaka ya 1990 niliangalia filamu hii ya CYBORG lakini kuna mtu aliniambia wakati wa matayarisho ya filamu hii kuna kipande ambacho Van Damme aliua mtu kwa bahati...
  12. Loy MX

    ikifikia hali hii....!! naomba niseme niko tayari kuihama nchi hii!!

    Nimefikiria kwa hali ilivyo hapa nchini ikifika wakati umeweka ka vocha kwenye simu yako lakini kinachokukuta ni hiki.. Recharge Successful.You have recieved tsh:5000. from no. 07*****658 Deductions; >VAT 25% >Inflation adjustment 15% >Pay as you Talk 10% >System Maintainance fee 20%...
  13. Loy MX

    ikifikia hali hii....!! naomba niseme niko tayari kuihama nchi hii!!

    Recharge Successful.You have recieved tsh:5000. no. 07***658 Deductions; >VAT 25 >Inflation adjusment 15% >Pay as you Ta 10% >System Maintainance fee 20% >Tanzania for tanzania deduction 17% >GOVT Support Fund 5% >Basefuel Tax 6% >other tax 1.5
  14. Loy MX

    daaaaaah hii ni kali kuliko na huyu kocha ni balaaa.....!!!

    A plane with 5 passengers was about to crash mid-air and there were only 4 parachutes. 1st passenger - Lionel Messi: I'm the world's best footballer, my fans still need me. He takes one and jumps. 2nd passenger : Aliko Dangote: I'm Africa's richest man. I don't want to die now - I'm an...
  15. Loy MX

    kwa mara ya kwanza Hoja za kambi ya upinzani bungeni zasifiwa na serikali leo!!!!

    Kwa mara ya kwanza leo nashuhudia Serikali ya CCM kupitia Waziri wa mambo ya nje Mh.Bernard Membe ikukubaliana na hoja zote za upinzani katika kujadili Bajeti ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa.
  16. Loy MX

    Biashara ya Meno ya tembo yazidi kushamiri! Tembo zaidi wateketezwa!!!!!!

    Nimesikia kwenye taarifa ya habari ITV Tembo saba kutoka hifadhi ya taifa ya Tsavo nchini Kenya waliovamia mashamba na kufanya uharibifu mkubwa wa mazao ya wakulima wa kijiji cha ngoyoni wilayani rombo wameuwawa na majangili na kuwang’oa meno ambayo walitoweka nayo. Sijaelewa...
  17. Loy MX

    Kama wewe ni mwizi wa wake za watu usirudie tena

    A woman was having sex in an apartment 20 floors high with another man. She then heard her husband coming.. She told her lover to stay like robot and not to move. Husband : What is this ? Wife : This is a robot i bought to have sex with when you are traveling.... Husband : Okay.. Lets...
  18. Loy MX

    TOFAUTI YA ORDINRY BUS, SEMI LUXURY NA LUXURY BUS kwa hapa TZ

    Nimepitia thread moja ya mdau hapa JF ikieleza namna nauli za SUMATRA zilivyopangwa kifupi kwa hapa bongo sijajua kampuni gani ni Ordinary na nyingine ni Luxury au Semi luxury... Au mabasi gani ni Ordinary, Semi Luxury an Luxury.. Kwa mdau yoyote anaeweza kufafanua hili jambo msaada tafadhali...
  19. Loy MX

    SUMATRA watangaza ongezeko la nauli, kuanza kutumika Tarehe 12 Aprili 2013

    Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini SUMATRA imetangaza viwango vipya vya nauli za mabasi ya masafa marefu, daladala katika jiji la Dar es Salaam, nauli za usafiri wa reli ya kati na bandari. Viwango hivyo vimetolewa kutokana na SUMATRA kufuatia maombi rasmi kutoka kwa wamiliki...
  20. Loy MX

    Hali ya kuwa ni mchana TiGo imewatakia usiku mwema wateja wake

    Katika hali ya kushangaza kidogo kama siyo ya kustaajabisha mtandao wa tigo kupitia ukurasa wake wa facebook umewatakia wateja wao usiku mwema hali ya kuwa ni mchana kweupe. Tigo Tanzania Muwe na usiku mwema... 9 minutes ago · Like · Share · Report Source: facebook.com
Back
Top Bottom