Mwanzo 38:9-10
Inaonyesha vile Mungu anavyothamini mbegu za kiume(shahawa) kias kwamba unapozichezea hovyo anakuadhibu, Kuna siri gani ya kiroho zaid kwenye mbegu za kiume,.
wanaomwagia mdomoni mwa mwanamke, na wale wanaomwagia chini kwakujichua, na wale wanaomwagia kwenye kondom zinaenda...
Wasalaamu ma intelegensias
Kabla ya mjadala Nianze kutoa namna tutakavyo define MUDA kwa leo tu...
MUDA -- seconds, minutes, hours, days, weeks, months, years, decades, centuries, milleniums etc.
Ningependa tujadili yafuatayo...
1. Muda ulianza kuhesabiwa lini?(namanisha lini walianza kuhesabu...
Wasalam, nimejaribu kuwaza kwa herufi kubwa kuhusu wanawake nilichogundua ni hiki..
Tofauti na kumpa pa**chi mwanaume, mwanamke hana kitu kingine cha ku offer au kuchangia katika mahusiano ili mzidi kupendana. Mwanaume atabaki kua muhangaikaji pekee kwa hali na Mali ili kudumisha mahusiano...
Nmekuwekea hii caption ya jamaa aliyeamua kuboost video yake YouTube kupitia jina "Diamondplatnumz new song2016" ila ukifungua cyo ya diamond, ni vile watu wanaona I'll jna nakutaman kuona iyo nyimbo kumbe cyo, kwa ss INA mda nchache ila ishafikisha views 1M+
Hii inaonyesha jins gan nyimbo za...
Take little look ya hizi video mbili ya ommy alioachia wiki imepita na video ya cokestudio walioachia cku tatu kama cyo mbili zilizopita,l
Video ya ommy INA views 611k na video ya coke studio INA views 76k
Nachotaka muone ni trending namba ya video inayotrend kutazamwa kwa ss u tube Ommy #3...
Habar wadau, hii APA ni akili kubwa kuusu nan ni bora zaid kati ya hawa maharamia wawili wa mzik wa bongo fleva.
Natoa facts tu (zikikuuma its for ur own risk)
1. Alikiba ni mkongwe kwenye game kuliko diamond (Diamond onyesha heshima kwa kaka mkubwa)
a)
2. Alikiba ana saut nzur ya kuimba...
Wasalaam wakuu, kama kichwa kinavyojieleza,nina haja yakuanzisha biashara ya kuuza madawa ya binadam( nmefikiria zaidi ile ya kuuza jumla pharmacy) ila ata reja reja wazoefu nisaidieni
Naomba msaada wakuu
1.pharmacy inahitaji mtaji minimum shingap?
2. Mm cna chet cha pharmacy je naweza tumia...
Wasalaam wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ni kwamba nilimaliza chuo kikuu 2014 ila sijapata kazi ya kueleweka hadi sasa hivi na nilipata mkopo kwa muda ule, nmefikiria kusoma chuo coz nyingine iliyo ktk market kwa sasa, je nikiomba mkopo tena ntapata?
Nawasilisha wakuu
Habarin za leo wakuu...langu ni moja tu leo, Naitaji kusoma pharmacy, tatizo bado sijajua working places zake ni zipi tofauti na uuzaji wa madawa
Msaada tafadhali wakuu, Asante
Leo nmesikiliza mahojiano ya kiba ndani ya magic FM, jamaa anasema kabadili management yake na kuanzia saiv atakua anatoa nyimbo bampa kwa bampa hakuna kuacha gape
Uyu jamaa game inataka kumshinda, siku anarudi kwenye game alisema kitu ichoicho (bampa kwa bampa) juzi2 kasema sporah show kwamba...
Leo nmesabai acc ya sporahshow insta nkakuta kapost kua leo atakua na show na alikiba hivo watu wafunguke nn wanachotaka kumuliza kiba
Chakushangaza nmeona acc za fans wa kiba zikimtumbua majipu kiba ile mbayaaaa... Sikujua kama kiba ana majipu yaliyoiva kias icho.... Wengine wamediriki...
Kiba sikia nikwambie bro kwenye ukweli tutazungumza, ww na diamond wote ni wasanii wazuri ila usijekudanganyika kuambiwa ww ni bora zaidi ya diamond, jamaa kakuacha mbalii sn aseee!
Uliwai kuponda et kuvua shat stejini wakati wa show kama diamond ni misifa na kujidhalilisha, jana kenya...
Diamond ni mtu anaeonyesha juhudi nyingi sn ktk kujiinua kimziki, anafight ucku na mchana, ana hakikisha hapotezi fursa yoyote inayojitokeza ili kuinua mziki wetu
POINT; Niwazi kwa wakati kama huu ilihitajika kichwa chenye juhudi, kipaji na nyota yakupendwa na watu kama diamond ili mziki wetu...
Salaam wanajamii,
Ni asubui tena tunamshukuru Mungu kwa ulinzi wake wa siku sita.Leo siku ya saba imetupasa kumshukuru kwa uhai aliotupa na kumwabudu kama alivo amuru hapo mwanzo baada ya uumbaji wa mbingu na nchi kwa siku sita.
Hivo jumuika pamoja na watakatifu wote duniani siku ya...
Salaam wakuu
Mie jinsia ni ME, Nimedumu na mpnz wangu ss mwaka wa tatu, tuliahidiana mwaka juz tulipokua tunaenda vyuoni kwamba tukimalza tutaoana
Yeye kwa sasa kaajiliwa bt mm nimedisco, ila bado cjamwambia ukweli wa matokeo yangu,
uyu mchumba wangu anaharaka sn yakuolewa coz anasumbuliwa...
Nilitokea kumpenda binti flani chuoni, kila tulipoonana alionyesha dalili za kuwa interested na mimi.Sikusita kumweleza hisia zangu, bahati nzuri alikua keshanielewa hata kabla yakumwambia akasema "usijal nmeshakuelewa hitaji lako.
Naomba unipe mda coz nimetoka kubreak-up na mtu wangu mwezi...
Wakuu,
Ni njia gani ya kumuacha msichana pasipo yeye kujua?
Maana nimejarbu kumpotezea taratibu akashtukia,kaniuliza maswali kibao nimejbu yaliowezekana.
Wakuu nipeni mbinu mnawezaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.