Almost new , only used for 2 days...na ina kila kitu chake ...comes with earphone ,charger an user manual na ina screenprotector
Specs; Samsung Galaxy Note 2 GT-N7105 Full Specifications and Features | DroidGOD
Price ni 430k.
Text me through 0653611245 [emoji181]
Nko dar kimara
Wakuu tecno f7 inakataa kafanya video call hasa kama nataka kumpigia mtu ila nikipigiwa inakubali.
Nikitaka kupiga inaandia 'VIDEO CANT BE SET UP',sijafaham nifanyaje apo ili iwe poa msaada tafadhari...
Thanks in advance
katika arakati za kuulizia online bei za galaxy s4,note 2 na 3 ambapo nliambiwa izo bidhaa zipo Egpty
bei ni
Note 3 cost $350, Note 2 cost $250 and the S4 cost $300
na nkaambiwa n freeshipping ad dar na naweza pata ndani ya siku mbili...
je iv ni kawaida kwa izo divice kupata kwa iyo bei? Pia...
katika arakati za kuulizia online bei za galaxy s4,note 2 na 3 ambapo nliambiwa izo bidhaa zipo Egpty
bei ni
Note 3 cost $350, Note 2 cost $250 and the S4 cost $300
na nkaambiwa n freeshipping ad dar na naweza pata ndani ya siku mbili...
je iv ni kawaida kwa izo divice kupata kwa iyo...
kwa anaefaham bei za samsung galaxy note 2 na S4 ambozo ni used na ziko kwa good condition naomba mnojuze tafadhali hasa kwa hapa bongo....
thanks in advance..
nina kamera yangu samsung ST30 inakataa kuwa na mara chache ikiwaka inajizimazima yenyewe au screen inakua green sijaelewa tatizo ni nini haswa na uku niliko sizanikama kuna mafundi wa ukwel kwan wengi ni wababaishaji hivyo kwenye tarehe 15 mwezi huu mama yangu anakuja dar akielekea moro so kwa...
nina kamera yangu samsung ST30 inakataa kuwa na mara chache ikiwaka inajizimazima yenyewe au screen inakua green sijaelewa tatizo ni nini haswa na uku niliko sizanikama kuna mafundi wa ukwel kwan wengi ni wababaishaji hivyo kwenye tarehe 15 mwezi huu mama yangu anakuja dar akielekea moro so kwa...
natumia modem ya huawei e153 ya airtel mkoan mtwara uku na nikwa mda mrefu 3g network ilikua aipatkan sasa yapita siku tatu sasa imeanza patikana hasa kuanzia jion ila sasa nikiconnect siwezi chukua mda mrefu kama lisaa iv then inajidisconnect afu inashindwa kuconnect tena atakam nikiipeleka...
wanajamvi ningependa kufahamu kampuni zingine za simu ambazo wanasoftware zinazoweza kuconnect kati ya simu na kompyuta yako na kuweza kutuma sms,kupiga simu au kupokea na mengine mfano nokia wanayo nokia pc suit
nawasilisha.,...
naombeni mnisaidie iyo kitu kwani nmejaribu kugoogle ila option nazoletewa nashindwa elewa vizuri kwani nyengine sutup zao n kubwa mno mfano 1GB n.k naomba yenyewe isizidi 250 tafadhari.............
nawasilisha................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.