Hivi wazazi wako wanajua kama unawafedhehesha humu mitandaoni ? Hata machawa wa enzi hizo mitandaoni kina Kimeta Wa Mpuhi hawakua hivi kabla ya uteuzi tuliza kipago wakati mwengine kama sio yeye kuna sababu gani yakutoa maelezo kibao
Wanalia lia sana hawa watu ifike wakati maamuzi magumu yachukuliwe wenyewe wamejaa kuuza samaki hadi vichochoroni huko bara lakini hawataki wabara wakafanye kazi,na kazi zenyewe wawe wanaweza sasa kufanya,huku wanapewa URC,DC na nyadhifa mnalimbali kwao ni wao kwa wao bado hawaoni hayo yote
Kwanini wawekwe askari ? Unawekaji watu ambao makazi yao tu waliyowekwa sio nadhifu atawezaje simamia usafi?hebu tuwe serious kidogo na mambo ya msingi kushindwa ku maintain usafi ni namna fulani yakuonesha umaskini na ujinga tulionao
Nenda pale wizara ya ardhi mjini kati kabisa pembeni ya ikulu halafu cheki ile hygiene ndio utaelewa ni namna gani tuna shida, na kama vitu vidogo kabisa vinatushinda tutawezaje kuwahudimia watanzania kwamafanikio kama basic things zinashindikana
Hoja yako ni ipi hapa? Hawa wafanyabiashara ndio wanazionea hizi benki zakigeni kwakufanya ma forgery ya security na deni kuongezeka nikawaida unadaiwa hela ya watu unakaa nayo more than 10yrs hulipi kwanini isiongezeke kumbuka hizo ni deposit za wateja ulikopeshwa ulitarajia wakienda benki...
Kwenye hotuba yake ya kwanza tu alishawatahadhalisha kuwaambia nadhani mnajua misimamo yangu kama hamuiwezi ni bora mkaniondoa mapema mwisho wa kunukuu,anaishi anachokiamini na je unadhani hayuko sahihi?
Halafu kuna kibaka mmoja wa yuvisisiemu anatishia kupoteza watu na hakuna kitu wanamfanya halafubkesho ndio yanahubiri amani na mshikamano na uzalendo majitu ya hovyo kabisa
Nchi ambayo inamtendaji katika ngazi ya kata,trafalgar,kijiji na hadi mtaa lakini DC anakuambia anataka kukagua miradi? Kwanini msiwajengee uwezo hao watendaji wangekua wasimamizi wazuri sana kwenye maeneo yao mana wanafanya kazi huko miradi ilipo sasa unakuta gharama zakukagua mradi misafara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.