Mimi ni kijana, Elimu yangu ni Bsc degree Infomramtion Technology (IT). Nimefanya kazi za IT upande wa technical kwa miaka 4. Sasa naona wakati umefika wa mimi kujiendeleza kielemu ili niachane na kazi za technical. Msaada wa mawazo kwenu nyote hasa wale ambao mmenitangulia kielimu na kikazi...
Namuonea huruma huyu the second dada, maana adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. Make sure she will be safe and fully protected. hiyo ni vita umeanzisha.
Asante kwa ushirikiano wako, to be honest nyumba kwangu ni kubwa sana na siwezi kuafford that price.... ndo kwanza nayaanza haya maisha! ninahitaji chumba tu au chumba na sebule but this will depend on the renting fee to whoever is concern.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.