Asante sana nimeshafanya hivyo kwa wengine na baadhi wameshafanikiwa haraka wengine naendelea kuwa tia moyo labda nao watachelewa kama mimi ila itawasaidia
I wish nijue kupost picha hapa maana kuna watu wanaona nafanya promo ningeweka vyeti na vipimo vyote vile vya kwanza na nilivyopimwa sasa, na niakapoendelea ili wajua siko kipromo. ni kushukuru na ninajua wengi wanatatizo kama hili langu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.