Kwani hamjui kuwa viongozi wetu siyo Business oriented? Huwa hawafikirii athari ya miaka 100 ijayo wanajali kura za mwaka ujao. Nchi imeuzwa kila mahala. Mbuga, barabara, mahoteli, madini kila sehemu ni ujinga mtupu. Kama suala ni Bandari ya Tanga bandari yenyewe dhoflihali.
Ni kweli mkuu...
Naam Ms Chite!
Namaanisha kigezo cha kutendwa haswa kimenigusa! Ningependa uweke anuani ya mawasiliano ili tuweze wasiliana mpendwa. Mimi kiumri natarajia kufikisha hiyo miaka 37 Mwezi July.
Nitafurahi sana kwani mapenzi ya dhati hujengwa na kamwe hayachipui kama uyoga!
Nipo tayari kuwa...
Mkuu hapo sijaelewa, kama unajua itakuwa imeuzwa mpaka kufikia tarehe hiyo kwanini sasa umeweka hii thread? Inamaanisha mteja unae tayari. Weka bei watu wapate kujua ili wajiandae.
Umakini unatakiwa wakati wa kujibu hoja! Inawezekana kweli Mh. Masha anataka kumsaidia Bw. Mengi katika hili. Ni sahihi, Mengi kama mwanajamii atoe uthibitisho maana yake aseme nani anamfanyia hizo ghiliba ili sheria ifuate mkondo wake. Kisura you are right!
Kama chuo kinashindwa kuweka gari la dharura wakati wa mitihani sioni ajabu ya watu kutumia nyenzo. Lakini cha msingi ni kwa mwanafunzi kujua majukumu yako ni kusoma na kujiandaa kwa mitihani. Kughushi kunaonesha ni jinsi gani elimu yetu ilivyo ya kipuuzi. Tunaidhalilisha taaluma kwa kutaka...
Ama kweli ukistaajabu ya musa utaona ya firauni! Mendi analalamika nini yeye mwenyewe ni m/kiti wa makampuni yanayotengeneza bidhaa feki. Colget ziko kama mihogo, Sunfill baada ya kuexpire zinafanyiwa promotion haoni huo ni uuaji kama si ufisadi? Afanye yale yamhusuyo kwa jamii aachane na...
Karume hakulazimisha! aliwataka wazazi wawape watoto uhuru wa kuoa na kuolewa na wawapendao. Waarabu hawakutaka mabinti wao waolewe na waafrika ilihali wanawapenda. Pia watanzania tufanye utafiti wa historia siyo kila kinachoandikwa ni sahihi. Karume hakuwa Dikteta! ila hakupenda watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.