Kweli kabisa "umekaa kitaani"? Kipindi hiki ungetumia kufanya courses kujiongezea knowledge in languages, advanced computer skills etc. Wewe umekaa tu???
Jamani mbona mnasumbuka? Huyu kijana amekua akiona baba yake akiishi maisha hayo (kudandia gravy train), mnatarajia yeye afanyeje jamani? Mnamlaumu bure... Kuna watu ambao hata wakizungumza ***** unaweza kushangaa lakini sio aina za kina Risasi
Kuna thread hapa inataka utaje vitu vya enzi za zamani ambavyo unadhani vijana hawakuviona ila wamesikia tu. Yametajwa mambo mengi ya mavazi, usafiri, mambo ya kijamii n.k. Basically reminiscing about the past. Naona wengi wana kumbukumbu za kufurahisha kuhusu enzi hizo.
Nikiwa nasoma hizo...
Kuna ugonjwa unaitwa PICA, basically ni hali ya kula vitu ambavyo kwa kawaida si chakula cha binadamu. Una sababu nyingi ikiwemo stress na nutritional deficiencies. Chunguza vizuri mazingira yanayomzunguka mtoto shuleni, nyumbani etc. Pia mpeleke kwa daktari wa watoto akushauri. Pole dada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.