Asante k-boko.hata mm wananikera sana.naona kuna upungufu bbc, wako biased sana kwa sababu katika matangazo yao ya ukanda wa maziwa makuu, kiasi kikubwa ni habari za kenya na ni kila siku.hata ukija kwenye coverage ya uchaguzi wetu ni kama hakunakinachoripotiwa.labda kwa sababu watangazaji wao...
Habari great thinkers,
Naomba ushauri na maoni yenu kuhusu kujenga nyumba.Kipi ni bora na nafuu iwapo utatumia mkandarasi au fundi wako wa mtaa?
Maoni yenu yatatusaidia wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.