Watalipwa na serikali ya Rwanda kama experts, watalipwa in foreign currency hii ninzuri kwa kuongeza thamani ya shillingi.
Mshahara wao utakuwa mkubwa zaidi ya ule wanaolipwa Tanzania.
labda watu wangeongelea jinsi ya ku implement zaidi ya kupinga tu.
Sijui ni thinking capacity ndogo au elimu ndogo..
Baadhi ya comments hapa zinaonyesha sababu gani wengi hupenda kulalamika mitandaoni bila ya kutoa au kuonyesha solution ya kipi kingefanyika.
1:Kwa nini inakuwa issue kwa Raisi kupokea delegation kutoka nchi jirani?
Rwanda iliajiri zaidi ya...
Hii ni rehabilitation and training center kwa mateja wa madawa ya kulevya, vibaka wadogowadogo na wale wanaoonekana kuwa tatizo kwa jamii ki tabia.
Wanapelekwa kwenye kisiwa hiki nakupewa mafunzo ya kujitegemea:
Huko kuna chuo kidogo cha ufundi, ujenzi nk. Wahitimu wakimaliza hurudishwa katika...
Rwanda and DRC agree to AU military force
JWTZ LATOA ONYO KALI KWA VYOMBO VYA HABARI VINAVYOANDIKA HABARI ZA UONGO KUHUSU MZOZO WA DRC..!! | Habari kamili
Awe Kikwete,Kagame au Magufuli sisi tunachotaka ni uhusiano mzuri.
Mhh!imekuchukua mda kweli,japo umerudia yaleyale kama kawaida hakuna jipya.
Cha msingi nikwamba Rwanda na Tanzania ninchi marafiki tofauti na mapenzi yenu.
Interahamwe zilichochea kwa sana ugomvi baina ya inchi hizi mbili, nimefuatilia sana kila supporter wako anajua lugha ya Kinyarwanda.
We...
A genocidaire is not how you look,it is what is with in you..Yes you can tell a genocidaire online.
Genocidal is an ideology..
jMali ulikuwa umetulia sasa tunaingia mwezi wakukumbuka Genocide naona umerudi tena,any way we are used to that.Nimeona hata story za 2013 zimeanza kuwa reposted...
Ndugu hata usisumbuke hao ni Wa rundi, nia yao nikuiingiza Rwanda kwenye mgogoro wao, mimi nawashangaa yaani our Pesident alisubiri Nkurunziza amalizie mda wake ndio akapanga kuanzisha vurugu Burundi? mbona kabla ya maandamano ya kukataa third term uhusiano ulikuwa mzuri tu.
Haya nisawa na...
Vipi unaongeleaje wale wanaoshupalia mambo ya Rwanda ilhali hawataki kukubali kuwa ni wanyaRwanda, atleast yeye hajaficha uraia wake:::
Unamuongeleaje jMali?
1:Maendeleo unayo yasikia Rwanda yasingewezekana kama uhusiano wa kijamii ungekuwa mbaya,wananchi wa Rwanda hawana shida na wanaelewana, ndio maana husikii vurugu kama nchi nyingine:
Najuwa kwa hili utasema wanaogopa serikali, lakini kumbuka hata Burundi wanatumia jeshi, ingekuwa uoga hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.