Aisee hawa jamaa wana roho ngumu kweli kama co njaa maana wanasimamisha gari ipo kasi badala ya kugea pembeni anangangania kukaa katikati ya barabara hajui gari ni bovu,limeibiwa,dereva mlevi nk wao wanakomaa tu!! Hasa hawa wa arusha mtakufa siku c zenu nyambafu kabisaaa!!!
Huo ushabiki tu wanayo chapaaa ndio maana ww wakati unawaza utazipataje wenzako wanafikiria watazitumiaje ndio maana wakainunua loliondo yenu unajua kinachofanyikaga huko??
Mkuu huo ndio ukweli makampuni ya cm yana njia nyingi za kujipatia fedha nyingi kutoka kwa watz wapumbavu ambao ni wavivu wa kufikiri!! Fikiria msg hy ya kutunga moja inatumwa kwa mtu mmoja alafu yy kwa kutokufikiri anaanza kusambaza ujinga; 40shs per sms x watu laki moja utapata jibu mmeliwa...
Daaaah hii imenikumbusha mbali sana Mwl mkuu wetu ss ni mareheme Senkoro akamwachia kijiti mzee Lema hapo Moshi mjini Korongoni school ilikuwa ni shidaaaaah!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.