Panga la zamani makali yaleyaleTumetumwa hela
Kuna lingine la Iringa hadi picha yake imewahi letwa hapa JF, ni basi bovu la kama miaka ya 40 hivi lakini limeandikwa VITU LAINIIII!
1.Kaza buti safari ndefu
2.no gain no pain
3.no easy task
4.no longer at easy
5.kesheni mkiomba
6.kufunga si kazi, kazi kuchunga swaum
7.kunyamaza sio kushindwa
8.umekula perege unasema umekula samaki ukila pweza utasema umekula nini?
9.ving'aavyo si dhabu
10.bure ghali
11.kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
12.baniani mbaya kiatu chake dawa
13.mkulima kala mbegu
14.utakula jeuri yako
15.hata ukinawa huli
16.utakula kwa macho!
17.ikisimama chapa ilale
18.man on work/wanaume kazini
19.mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba
20.kichwa cha mwendawazimu
21.ukitia mguu pesa
Duh zipo nyingi sana kwa leo zinatosha
Izina la Mfumwa Litogolwe--Hii ni ya kipare nadhani inamaana jina la bwana lisifiwe
Kifo cha Mende
Kamujingijingi---naomba tafsiri kwa hii nadhani ni kinyaturu
Kama kumsukuma mlevi vile