Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Lamba joka nipo last card.
Mama mkanye mwanao.
Uchi haufunikwi na viganja.
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.
Kaa vizuri toa mnato huo.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
1.Mkeka hauna uvungu
2.Panda juu kazibe (Riziki)
3.Cha mtu uliwa na mtu,chuma pekee uliwa na kutu
4.Baba yako analo
 
Kuna ukweli upi hapo?
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1404071131.877381.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1404071131.877381.jpg
    49.4 KB · Views: 546
1.Kaza buti safari ndefu
2.no gain no pain
3.no easy task
4.no longer at easy
5.kesheni mkiomba
6.kufunga si kazi, kazi kuchunga swaum
7.kunyamaza sio kushindwa
8.umekula perege unasema umekula samaki ukila pweza utasema umekula nini?
9.ving'aavyo si dhabu
10.bure ghali
11.kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
12.baniani mbaya kiatu chake dawa
13.mkulima kala mbegu
14.utakula jeuri yako
15.hata ukinawa huli
16.utakula kwa macho!
17.ikisimama chapa ilale
18.man on work/wanaume kazini
19.mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba
20.kichwa cha mwendawazimu
21.ukitia mguu pesa

Duh zipo nyingi sana kwa leo zinatosha

Daaah nimeipenda sana hii mkulima kala mbegu ))
 
1 Husimtekenye aliyekubeba
2 Ikichacha ya wakwe
3 Biscut ya chuma
4 Wali nazi
5 Yesu ni jibu
6 Heri kupungukiwa damu kuliko pesa
7 Njia ya choo haiote nyasi
8 Heshima pesa ,shikamoo makelele
9 Hapa story tu ,kula kwenu
10 mzigo mzito mpe mnyamwezi
11 paka haishi kwa msela
12 jiji la lawama
 
Izina la Mfumwa Litogolwe--Hii ni ya kipare nadhani inamaana jina la bwana lisifiwe
Kifo cha Mende
Kamujingijingi---naomba tafsiri kwa hii nadhani ni kinyaturu
Kama kumsukuma mlevi vile

Kamjingijingi ni kirangi cha kondoa... Dodoma. Siyo kinyaturu cha ikungi.... singida. Maana yake KITU IMARA.
 
Back
Top Bottom