Mkuu xenon, unajuwa huu wimbo una mashairi mazuri sana tena yenye kuifunza jamii tofaut na nyimbo za sasa za bongofleva. Naomba nikumbushe jina la mtunzi na aliyeimba huu wimbo mtamu usiyokinaisha masikioni ili na mimi nikautafute.
Hahahah hapana mkuu Galapagosi, huu wimbo nimeupenda kutokana na kisa cha huyo ambaye alimfukuza mpenzi wake baada ya bint mmoja mdogo kutoka kijijini kwao kufoji barua ambayo alimletea jamaa hiyo ilimtaka jamaa amchukue huyo bint kama mkewe...
Huu ni wimbo wa bongofleva ambao nilitokea kuupenda sana ila umenitoka kidogo, una mashairi haya; Nilimfukuza mpenz wangu eti kwa sababu ya bintii, nilimfukuza wangu moyo eti kwa sababu ya bintii, moyo wangu unauma nafsi yangu inajuta mamaa...
Njoo private nitakufafanulia kila kitu kuhusu hayo mambo unayotaka kujua ila kama wewe ni mwanaume sharti langu uje ukiwa umevaa wigi, kama ni bint uje kama ulivyo. Ahsante.
Mi nadhani njia rahis ilikuwa wakati wa kumpa abiria namba ya siti ndiyo ulikuwa wakati muafaka wa kumsaili abiria atayekwenda kukaa kwenye hiyo siti. Hayo mambo ya kwenda kuulizana ndani ya ndege huko ni kusumbuana tu.
Hakupendwa Yesu, pamoja na mazuri yote aliyoyafanya hapa duniani na bado watu wakamsurubu na kumtundika juu kama nyama buchani sembuse huyo bwana wako Almas. Kila mtu ana uchaguz wake nini cha kupenda na nini cha kukichukia usifos wote tumpende yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.