Wanaume mmezidi viherehere acha mlongwe ndo msikie mmezoea sana kutesa wanawake mkeo ndani humuhudumii vizuri ila kimada nje unahudumia. Unamlala binti wa watu na mimba anatoa ila wazo la kumuoa huna kwa nn wasidanganyike na hao makungwi mtarongwa sana msipo badilika mtalishwa hata nyama ya govi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.