Ongea Lugha ya wazi MkuuwAPEMBA VIPANGA. I KONW THIS FOR A FACT.
post namba 20 nmekuulizaAlhamduliLlah, nimeshawahi kuonana na Marais wote wa Tanzania kuanzia Nyerere mpaka Magufuli, Magufuli nilionana nae akiwa bado siyo Rais.
Kwani yeye alikuwa Waziri kipindi hicho mkuu mbona kama uelewi kinachoendelea.Hivi kweli kwa fikra zako, waziri wa elimu kazi yake ni ku-mark mitihani? Mpaka mseme waislamu mnafelishwa?! Na je, ktk wizara ya Elimu hamna waislam? Hivi kwanini waislamu huisi kuonewa katika kila jambo?!
Talaka inakombolewaje?
Tunakumiss sanaUlichojibu ni Yale yale ambayo tumeyazoea kutoka ktk midomo yenu kua mlifelishwa makusudi kwasababu ya Imani yenu kwamba hawataki msome sn.
Haya haya ndio hua mnadai ata ccm ina mfumo Kristo na wakati huo huo kuacha ccm hamtaki na ni wanazi wakubwa Wa ccm lkn wakati mwingine mnakuja ooooh ccm ni mfumo Kristo.
Ni udhaifu huo tena mnapaswa mbadilike sn.
Naomba nifundishe namna ya KUOGA JANABA mimi mwanaume wa kiislam!
Naomba ufafanuzi kwenye hili mkuu
Acha uzinifu, naimani kama uliolewa kwa ndoa ya kiislam ulishafunzwa namna ya kufanya baada ya tendo na mumeo
Waislamu muna uhusiano gani na majini na kwa nn yanaitwa kwa majina ya kislamu tu
Awe mwanaume awe mwanamke wote hufunzwa nn cha kufanya Mara baada ya tendo la ndoa , kwaiyo sioni mantiki mtu kama kaoa au kaolewa aje aulize kuhusu kutoa Janaba, msimchoshe Faiza wa watuSikasema yeye ni mwanaume? Sasa hapo kwenye kuolewa mbona sijaelewa umemaanisha nn.