Kwa maghorofa,jamaa Yuko sahihi. Kariakoo inavunjwa sana na kujengwa maghorofa mapya ya kisasa.
Ila kuhusu "Hela ipo ya kutosha,hali ya uchumi imeimarika nchini" hapo namkatalia mleta mada.
Naamini ipo sababu ya ngingine ya ziada kwa viberiti vinavyooteshwa kariakoo.
Waajiri walimu special kwa ajili ya kingereza kutoka Uganda na Zimbabwe kama Wana nia ya wanafunzi wake kingereza kweli.
Vinginevyo tutazidi kutwanga maji kwenye kinu.
Laki 6 alafu Mafunzo siku kumi,wanafunzi wataelewa kweli?
Mnatumia mbinu gani mtu aweze kushika vyote hivyo ndani ya siku chache na akatoka Yuko vizuri na cheti akapata?
Buguruni vitu vya shambani bei rahisi sana,na panawafaa vijana majobless wanaojitafuta
Unakuta nyanya au ndizi zimepangwa fungi utadhani muuzaji anataka kumaliza fasta ili aondoke,kumbe ndiyo wanavyopanga. Na Biashara hadi usiku.
Asubuhi mapema Ukiwa na buku mbili unaibukia vinginguti unarudi...
Mkuu,
Kuwa makini na supu za buguruni, pamoja na nyama ya mbuzi ambayo huoni kichwa wala mkia wa mbuzi.
Ile unauliza nyama Gani unajibiwa tu, hii ni nyama ya mbuzi!! Utakula nyama zisizoeleweka kutoka vingunguti hapo.
Ng'ombe washajifia hawaachwi Bure Bure.
Taratibu sera za chama cha 'Kataa Ndoa ' zimeanza kueleweka na kuzidi kujizolea wafuasi.
Sera zake zinazidi kupata wafuasi wengi siku hadi siku.
Kichwa cha habari kingesomeka "KATAA NDOA,OKOA KIBUNDA" kama wenyewe wanavyosemaga.
Huyu anachofanya hapa ni kutuliza machungu,baada ya jamaa kumuangaikia bibie kwa miaka mitatu,akapiga kitu cha Whatsapp status (sekunde 30),ametua mzigo na deni limelipwa.
Mengine ni ya kujifariji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.