KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,632
- 58,100
sasa usitusengenye sawa mama..??Muimba kwaya, sinywi mie.
sasa usitusengenye sawa mama..??Muimba kwaya, sinywi mie.
Msalimie mdogo wako shetani.wanywa soda,wakina Dr sulle,wapenda mpira,wanacmm kuanzia UVCCM na chawa waogope sana
Huu uzi ungekuwa batiri bila komenti ya maryj.Sidhaniii… nina rafiki wa kazini mnafki sijawahi kuona ila anatupia kamnyweso balaa.
Hapo ikoje hiyo?
ulevi wa wambea unaishia baa .Hata walevi wambea balaa
Siyo umbea wa walevi unaishia bar?ulevi wa wambea unaishia baa .
Mlevi anapokea nguvu hasi Kwa urahisi zaidi hususani walevi wa changanyikeni-bar, vilabuni nk.Kivipi mkuu?
KabisaWasikunywa pombe ni wachawi na wambea
Wewe, hebu kunywa biya!Pombe ni haramu kaa nayo mbali sana.
Endela kunywa mkojo wa Firauni baba.Iko hivi,
nina marafiki wa kila aina tofauti tofauti, walevi na wasio walevi..mimi binafsi ni mywaji mzuri tu ila sio wa kubebwa.
Sasa siku kadhaa za nyuma hapo nilipata kachangamoto flani ka kimaisha nikaona ngoja niwacheck jamaa zangu(bila kujali ni mlevi au mtakatifu kama wanavyojiita) Wale walevi fresh tu aliyekua nacho chochote kitu basi kwa muda wake aliniwezesha chochote kitu ambae hakua na kitu alinichana tu hana na issue ikaisha.
Sasa hawa wasiokunywa ndio wale nawacheck wananikataa halafu wanaenda huko pembeni wanasema ooh nalewa daily nashindwaje kutatua shida ka hiyo mwenyewe hawajui sie wanywaji kuna wakati unaitwa tu bar na washkaji huna hata Mia na wao ndio wanasimamia show zote.
Sasa leo kuna pimbi ambae sio mnywaji kapatwa na changamoto kama iliyonikuta mimi kipindi kile na yeye alinikataa hakunichangia hata senti tano kanikuta leo niko njema tu, kwanza kanipigia sijapokea coz tuna muda hatujawasliana tangu alivyonikataa ila taarifa zake nazipata toka kwa CIA wangu mmoja hivi, alivyonipa faili lake huyu jamaa nimemkataa kabisa.
Kwa kifupi nimegundua sie wanywaji tunasaidiana sana kuliko hao wanaojiita sijui waimba kwaya.