Hii imetokea ili iwasaidie mashabiki wa simba kujifariji kidogo, maana yanga ingeshinda na jana simba ikashinda bado wangepiga kelele timu yao haichezi vizuri[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rushwa ipo popote wakati wowote, tena kipindi chake ndio watu wanalikua wanapiga ela kimya kimya bila kelele yeye akiwa kinara wao, maana vyanzo vya kutoa habari vilikua vimebanwa, mtu ukitoa taarifa ya rushwa unatafutwa wewe, ukitoa taarifa ya mradi m'bovu unakamatwa wewe, nadhani mnakumbuka...
Habari wakuu wa technology humu jukwaani naomba kujuzwa kuhusu hii simu nataka niichukue wiki hii, camera uwezo wake maana ni ya biashara na uwezo wa vitu vingine pamoja na changamoto zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni 12pro, samabani wakuu
Cha kwanza kabisa epuka kutumia ncha za kucha kutumbua chunusi, subiri ziive minya bila kutumia ncha ya kucha maana ina sumu inabaki kwenye kidonda na huchukua mda sana weusi kuisha kidonda kikishakauka, wee chagua chunusi moja itumbue bila kutumia ncha ya kucha utaona kidonda kikipona hakiachi...
Nilipanga niwe nao 20, sasa hivi nna watoto 13 hamna rangi naacha ona aisee wananipeleka kaa gari bovu, najitahidi kuwahudumia wote ila sio poa,
Malengo yangu ya kua tajiri nayaona yaleeeeee yanapepea, maana 8 kati hao wako la 7 kushuka chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, nataka kununua simu ya redmi, rm4 - 6/128gb bajeti yangu ni laki 4 adi 5,
Ni ipi nzuri inafaa kwa picha na inayokaa na chaji na mengineyo muhimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.