Nadhani watakuwa wanawatangazia waandishi wa habari kuwa, tayari wameshapeleka posa yao kwa UVCCM, na kuwa kinachofuata ni mipango ya harusi. Bibi harusi Bi. UVCCM ana hamu sana kuona naye sasa anaolewa.
Naomba siku UKAWA wanatangazwa kuchukua nchi mke wangu asiwe Mwezini!
maanasiku hiyo ni kufanya mwanzo mwisho, jikoni, uani, sebuleni, chumbani kidogo maana tumekizoea.
Eee MUNGU saidia UKAWA wachukue nchi nipige show ya Makhirikhiri.
Hakuna kiongozi mnafiki kama Mkwere.
Baada ya kuona mpango wake wa kumuweka Membe na Asha Rose pamoja na Makamba kukwama, saizi ndo anajifanya anamfagilia magufuli. Hamkumuona ile siku dodoma alivyokuwa mdogo alikuwa ni mtu ambaye ana mawazo mengi sana. Huyo Magufuli ni mpango wa Mkapa na...
UKAWA Imara! UKAWA Imara!
CCM Makopo! CCM Makopo!
Mimi niliwaambiwa watu jaamani msichukie Mkwere, mkweli ni chaguo la MUNGU, ameletwa na MUNGU ili aje aiue CCM nyie mkawa mnanibishia, sasa naona yale niliyowaambia sasa yanatimia.
Thanks RICARDO KAKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.