kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
Hivi ile misukule ya Lowasa imeenda wapi? Ila taarifa zilizopo ni kwamba imekamatwa na polisi kwa kuchakachua matokeo
A bitch.
Hivi ile misukule ya Lowasa imeenda wapi? Ila taarifa zilizopo ni kwamba imekamatwa na polisi kwa kuchakachua matokeo
Mbatia kaizika rasmi NCCR huko Kibondo na Kasulu.Wadau, amani iwe kwenu.
Kwa matokeo haya ya ubunge, udiwani na Urais yanayoendelea kutokewa, ni dhahiri kwamba Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka CHADEMA. UKAWA hawakuwa na hoja za kuombea kura. Walibaki kuzungusha mikono tu. ndo maana wakawapata vijana wachache tu wa kuwaunga mkono na wengi wenye akili wamewakataa.
Dr Slaa, waonee huruma wenzako. Wamevurugwa.
Tena mnyika inabidi amsafishe miguu siku 3 ,Wenje ambebe mgongoni kutoka Ufipa hadi jangwani
Teh TehHahahaa, ila bado wanajipa moyo,ngoja tusubiri matokeo.....
Walidanganywa na mafuriko kumbe tulienda kushangaa chopa na comedy za babu kwa wajukuu wake
Kura ya mtu ni siri ya mtu....
Mkuu hawa jamaa walidanganyika na mafuriko hewa ,wakasahau kuwa kwenye kura hakuna kuigiza wala mafuriko hewa,tuliwaambia maigizo yenu ni maafa yenu,hawakusikia,tukawaambia kujaza server za JF na kumsifia msanii sio ndio kupiga kura,sasa nadhani wameyaona wenyewe,sasa sijui Mzee kingunge atazungushia wapi mikono,Mungu mkubwa magamba yamejivua yenyewe na sasa tunasubiri Magufuli atupeleke Canaan ,nchi ya maziwa na asali.
Wadau, amani iwe kwenu.
Kwa matokeo haya ya ubunge, udiwani na Urais yanayoendelea kutokewa, ni dhahiri kwamba Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka CHADEMA. UKAWA hawakuwa na hoja za kuombea kura. Walibaki kuzungusha mikono tu. ndo maana wakawapata vijana wachache tu wa kuwaunga mkono na wengi wenye akili wamewakataa.
Dr Slaa, waonee huruma wenzako. Wamevurugwa.
Hoja zingine bwana. Kwa hiyo wale waliokuwa wanaharibu maji kwa kudeki barabara wakati wenyewe wana wiki mbili hawajaoga na wanashindia viroba ndiyo wana kazi? Subiri sindano ikuingie mkuu. Ndiyo siasa hizo! Wakati wenu mlitamba sana hapa JF. Unamjua mtu anaitwa Ocampo Four? Mussa Allan? Mmawia? Swiss me? We acha tu!Mpo hapa kazi tu wakati mnadhurula barabarani tu,mnakaa kwa Shemeji zenu,walionakazi zao hawaipendi system,nyie msiokuwa na mbele na nyuma muda wote mpo kwenye simu tu,mpo hapa kazi tu,wakati mnataabika tu
Wadau, amani iwe kwenu.
Kwa matokeo haya ya ubunge, udiwani na Urais yanayoendelea kutokewa, ni dhahiri kwamba Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka CHADEMA. UKAWA hawakuwa na hoja za kuombea kura. Walibaki kuzungusha mikono tu. ndo maana wakawapata vijana wachache tu wa kuwaunga mkono na wengi wenye akili wamewakataa.
Dr Slaa, waonee huruma wenzako. Wamevurugwa.
Teh Teh Bavicha nguvu yenu iko jf tuu..
cc BRENDA 18
Teh Teh
Bavicha huwa nawafananisha na kikundi cha futuhi.....
Lowasa aamini kinachotokea....
Walikuwa wanawaka miali ya moto vinywani,now mmh,mzee Duni na kiswahili chake cha Kiunguja sijui anajionaje si kheri angebaki kule kule Visiwani mwenzake aliona mbali akagoma kuja UKAWA maana aliona mustakabali wake huko mbeleni ni giza totoroooo!!!!!!!!!