Naomba kusaidiwa hili swali la kiswahili kwa anayejua.
SWALI......Athari hasi na chanya za fasihi simulizi katika kufaraguza fasihi andishi ya kiswahili ya hivi leo
Kuhama ni simple sana lakini kama una mkopo utasota sana maana mm yalinikuta hayo lkn saiv na enjoy maana heslb walishauhamisha na saiv naingia third year
Naombeni msaada nimefanya transfer lakini leo nimeangalia kwenye account yangu ya loan nimepata mkopo,je nitaupata mkopo wangu katika Chuo nilicho hamia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.