Search results

  1. R100

    msaada

    Naomba kusaidiwa hili swali la kiswahili kwa anayejua. SWALI......Athari hasi na chanya za fasihi simulizi katika kufaraguza fasihi andishi ya kiswahili ya hivi leo
  2. R100

    Direct cost vyuoni zinalipwa zote kwa pamoja?

    Sasa ndugu kama chuo wameshakuambia haifai si ndio jibu hilo
  3. R100

    msaada

    Kuhama ni simple sana lakini kama una mkopo utasota sana maana mm yalinikuta hayo lkn saiv na enjoy maana heslb walishauhamisha na saiv naingia third year
  4. R100

    Direct cost vyuoni zinalipwa zote kwa pamoja?

    Hilo swali ingekuwa vizuri ungewaliza moja kwa moja chuo ulichopangiwa ndugu
  5. R100

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    Ni kweli lakini wakaribie sana, na wale pia wanaosema chuo bata wakaribie sana wale hao bata
  6. R100

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    First year banah, mbona chuo kitu cha kawaida sana...tatizo mna mawenge sana
  7. R100

    Hivi ukipewa loan unaweza pewa na boom

    Boom ipo ndani ya loan ndugu
  8. R100

    Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Ulienda chuo kufata nini au ndio ulienda kutafuta sup
  9. R100

    selection udsm

    Ndio mbona lipo tawi la SAUT Arusha
  10. R100

    selection udsm

    SAUT ARUSHA
  11. R100

    Mikopo

    Mikopo ya maji au, nyoosha maelezo
  12. R100

    Waliofanya transfer

    Naomba mnisaidie kwa hili je waliofanya transfer mkopo wao wanaweza wakaupata baada ya mda gani na je baada ya kuhakikiwa na TCU tutajuaje?
  13. R100

    Nini kinahitajika katika transfer ya chuo?

    Je na kwenye loan itakuwaje?
  14. R100

    Kuhusu mkopo

    Naombeni msaada nimefanya transfer lakini leo nimeangalia kwenye account yangu ya loan nimepata mkopo,je nitaupata mkopo wangu katika Chuo nilicho hamia?
  15. R100

    Kuhusu transfer

    Hivi kama nimesha sajiliwa katika Chuo ninachotaka kuhama kuna uwezekano? Msaada tafadhali
  16. R100

    Je TCU watatoa lini Matokeo ya diploma holder kwenda digrii awamu ya nne?

    Hivi naeza nikafanya transfer wakati nmeshasajiliwa katika Chuo ambacho nataka kuhama?
  17. R100

    Kuhusu maombi ya mkopo HESLB

    Mbona ni kila mtu anaandikiwa hivyo sasa
  18. R100

    Eckenford Tanga University tukutane hapa

    Mbona hamna joining instruction sasa
Back
Top Bottom