Habari waungwana ?
I must be honest with myself, kwa kweli leo nimeshangazwa sana na mtangazaji wa TBC1 Habari ya saa 1 asubuhi kwa kitendo chake cha kujitabanaisha na chama makini kwa kuamua kuvaa tai yenye rangi za bendera ya Chadema ndani ya Studio za TBC1.
Nimeshangazwa na hilo, hasa...
Dah, mkuu K.K, lakini hapa mi naona ni huyu mzee (Dr. Rushwa) ndo anakuwa na biashara za kiswahili, manake ye si alitaka Milioni 10 ? sasa shida inatoka wapi tena!
Hivi hii nayo huwa imeekaje wazee wakubwa ?
Muuzaji anauza nyumba yake kwa Mil. 10 ...!
Dalali kamseti mnunuzi kwa Mil. 15 ...!
Mnunuzi karidhia bei bila tatizo ...!
Muuzaji anaona kaibiwa Mil. 5 ...!
Source: Ze Comedy Show ...!
Dah! Sasa na wewe huo mkono kuupeleka huko chini ndo manake nini, kipima joto ama?
Na huyo mwingine anaekufunua huko juu nae anataka nini sasa, kukupima joto pia, ama?
Kaazi kwelkwel !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.