kijana sio alsima IT tuu ndie anaweza hata ss wa Law pia tunaouwezo huo so kuwa makini katika kuelezea humu hatubaguani sote ni wamoja katika technologia ndi maaana tunasaidiana kwa kila hali. Wee ukitaka course ya chuo fulani fungua website yao then nenda kwenye prospectus yao then hapo utaona...
Mm nina modem ya airtell so ili kutaka kuchakachua ni mambo yepi muhimu kuwa nayo kama software ipi ni download baaadae ili niendeleee na hatua nyengine. Thnx
sio bure kama mnavyibishana ila harama ya sms ni zaid ya bure coz sms kutuma nje ya nchi ni kama sh 100
Asante mkuuu kwa maelezo ya zaid ya bureeeeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.