Hao ws full package labda mkaumbe wa kwenu. Nyie wenyewe sio full package alaf mnataka full package... ndo maana ndoa siku hizi hazidumu. Hayo ya kuwa full package waliweza bibi zetu tu
Alaf wanaume wanapofwata wanawake kuna vitu tofauti wanafwata kwa wanawake..
Yuko me anayempendea mwanamke mapishi
Yuko me anayempendea mwanamke sex
Yuko me anayempendea mwanamke appearance tu
Yuko anayependa kingine n.k n.k
Sasa kupanga ni kuchagua kama ulinipendea lingine alaf tumefika ndoani...
Abee
Eti wa kuolewa waweje?
Me mbona siko hivyo ila jf imeshanipatia mume na danga vyote kwa pamoja ...kazi ni kujigawa tu mda gani wa danga na mda gani wa main road
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mwishoni kila mtu atafunga hesabu
Mwingine hesabu ya matusi
Mwingine hesabu za dollars (say it again ....dollars )
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
πππππππππππππππππππ
Veepe kuna tusi jipya kwenye kamusi yenu??
Napita kwa kucheza kwakweli.
Pale ambapo najua Mungu halali wala hasinzii.
And you know what??? Publicity is publicity
Code siifungui hata mniite majina yote mabaya yaliyoko dunian. Kikubwa I make my living though legal ways ....I don't care backing dogs wanachosema.
Siku zote mbwa anambwekea asiyemfahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.