Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.
Kwa mujibu wa Einstein kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Vinakuwa wazi kama mzinga wa nyuki. Kitu...
Nilikuwa najaribu supabets......naona ni majanga tu ....opt
1&under3.5....odd 1.73, status ...loose
Mechi ya Malawi
Result: 1:0
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa konyagi hizi alcohol % zao nashindwa kuzielewa au kuna feki hapa.
Unakuta wameandika hivi
alcohol 35% vol. ,nyingine wameandika
35%ABV
sasa hapa ndo nashindwa kuelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.