unapokuwa mtanzania halisi na unaanzisha huo uzi,, ina maana gani kama hautoi ushauri wa nn kifanyike???
si uungwana kulijadir jeshi letu tukufu kwa nadharia potofu.
huu uongo na chelewachelewa ya ukawa hata wakipewa dhamana watatufanyia hivihivi watanzania,,
waweke mambo yao hadharani kama hawana wa kumsimamisha n bora wakae kimya kuliko kutupiga danadana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.