we unazingua...wewe siyo kidato cha nne... Muongo ....Kidato cha nne wanajua kuingiza tu nyimbo kwenye pc, hawajui kingne... may be na kuweka na kutoa movie. Sasa wewe una uwezo wa kufanya kazi vzuri kwa computer... unatudanganya mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza, hivi Dr. Ulimboka yuko wapi???? Kwa wenyeajibu tafadhali...Maana toka apone hajasikika mpaka wa leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona unaamka Asubuh, Simu yako iko full charge... inafika sa 6... charge imeisha. Tafuta kazi bro, ishara sio nzuri hiyo. Naongea maana ndio experience ninayopitia sasa. This is very serious, lifanyiwe kazi wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.